Nilidhani ili hoja yenu iwe na nguvu mngeonesha hata kwa mifano kuwa jamaa amefanya mambo gani, bahati mbaya sana wote mmeishia kubwabwaja, mtendaji mzuri hasifiwi kazi zake ndio zinamtangaza ukiona watu wanatumia nguvu sana ujue kuna tatizo mahala.
Wapi kitufe cha like mkuu?
Kwa sasa tujiandae kuona mpambano wa bwana toka mashariki na bwana toka magharibi kwa mwanamwali bikira asiyemjua mume. Vizawadi vimeanza kutolewa, majigambo na tambo vimeanza. Maskini mwanamwali bikira wala hajisumbui kutafakali mustakabali wake
Hao wasanii kazi yao moja tu. Tunadownload na kuburn nyimbo zao na hatuwaungi mkono tena katika harakati za kutafuta haki zao. Tutaongeza mbinu za kuwanyonya.
Mkuu Ocampor four mimi nimeona katika gazeti la Dailynews la tar 19.oct.2015 eti wanafanya voluntary winding up hawa HSC. Nikawa na maswali mengi. Au hawa ndio ambao Gazeti la Uhuru na wana CCM wanasema ''watu wenye asili ya Asia wamefunga biashara zao kwa kuogopa vurugu za CHADEMA?
Brother! mjinga hupayuka ujinga wake wakati ambao mwenyehekima hukaa kimya kwa kuwa ni karama toka kwa Mungu. Sikulaumu wewe hata kidogo nalaumu wazazi wako kwa kukusomesha shule za kata chini ya CCM na wakiongeza madaraja ili watu kama wewe muonekane mmefaulu. Vote for Lowassa ili angalau...
Mleta mada nadhani ama uwezo wako ni mdogo kichwani ama umeamua kupotosha makusudi. Ina maana hukujiuliza maswali yafuatayo?
.mbona wauliza maswali walijulikana kabla tena kwa majina na mswali yao?
.mbona wauliza maswali walikuwa wanasoma vikaratasi ambavyo vyote vinafanana? Nani kaandaa maswali...
Leo nimeshangaa eti magufuli anasema ''wenzangu wa Ukawa wanafanya ishara ya V sasa hii ukigeuza chini na zikawa mbili inakuwa M for Magufuli'', sasa najiuliza huyu mgombea hana think tank au ya kwake ni re active?
RIP Kombani.
Katika vifo hivi kuna kitu nahisi Mungu anataka kutueleza Watz. Huyu alikuwa ni Waziri aliyesema hadharani hataki Katiba Mpya. Mwingine ni John Komba (RIP), yeye alisema ikibidi atakwenda msituni ili katiba mpya isipite. Tunataka ishara gani Watz ili tuelewe Mapenzi ya Mungu kwetu?
Huyu Aidan na Twaweza anafanya Civil Society Organizations zote zidharauliwe na kuonekana ni wajanja wajanja wa mjini Ofisi mifukoni na watafuna hela za wafadhili. Ni aibu kwake. Natamani kuona other CSOs zikitoka hadharani na kukemea udhalilishaji huu wa michango muhimu wa CSOs ambao Twaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.