Waziri wa mambo ya nje Bernard Membe amesema kuwa waangalizi wa ndanI na nje hawatakiwi kutoa tarifa zozote kwa umma kabla ya kuwasilisha kwa Tume.
Amesema kuwa wao wapo hapa sio kama mameneja Bali ni waangalizi.
Amesema hata kama wakiona mapungufu wanatakiwa wawasiliane na tume wao ndio wenye...
Ahahaaa Kenya ipo mbali sana zaid ya Tanzania hata UKienda ulaya ukisma umetkea east Africa utaambiwa Kenya watu awaijui Tanzania uko ulaya..ila jaman Tanzania na mashida yetu mengi yote unaacha kuyajadili unaongelea ukabila wa Kenya. Thus ccm itaongoza mlele coz wananch wa Tanzania weng malofa...
Mimi ni mwanahabari kitahaluma ila media kama star TV znatufanya kuona aibu kujitangaza hadharan kuwa ww ni mwanahabari. Anaulzwa maswali ambayo aliwaambia wamuulize
Acha uongo ww kanu imtka 2002 na huko jubilee aikuwepo jubilee ni chama kpya cha siasa kilchoanza mwKa Jana apo mwanzo 2012 jubilee ilkuwa ni mungano wa urp ya ruto na tna ya kenyatta sasa wanataka uchaguz ujao waw na chama kimoja tuu ambacho ni jubilee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.