Recent content by brookside

  1. B

    Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali

    Hivi CAG hawezi kuondolewa kabla ya kipindi chake cha kustaafu yaani hawezi kutumbuliwa kwa mujibu wa sheria
  2. B

    Dar: TRL yabomoa nyumba kadhaa eneo la Buguruni

    Tanzania inafuata siasa za kibepari au siasa za ujamaa na kujitegemea
  3. B

    Dar: TRL yabomoa nyumba kadhaa eneo la Buguruni

    Omba Mungu sana kumbuka waliojenga walisukumwa na umaskini na sio maamuzi yao binafsi
  4. B

    Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

    Kwani moshi na arusha hakuna asalali niambie ni mkoa gani unaoingizia dola nyingi taifa ukiachilia mbali moshi na arusha
  5. B

    Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

    Yaani hiyo miji ndo tanzania wengine watazunguka ila ukweli utabaki kuwa ukweli kwanza Moshi na Arusha zingestahili ziwe ulaya na sio Afrika
  6. B

    Masikini Manji, kabanwa kila kona!

    Ukiwaza unaweza kulia sijui wabongo tumelogwa na nani
  7. B

    Steve Nyerere aongea na Wanahabari, amkaanga Wema Sepetu na Mama yake, Wasanii hawaidai CCM

    Huyu dogo ni mchanga wa siasa bora aachane na siasa atafute kazi nyingine point zake ni lain laini utafikiri ni uzi wa mtoto mchanga
  8. B

    Zitto Kabwe: Nimepata kitu juu ya mahakama na kesi ya Mbowe

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nahisi inaguza mfupa
  9. B

    Mkuu wa Home Shopping Center atembelewa na mkuu wa mkoa wa Dar

    Home shopping center si lilitolewa tangazo wakati ule kwamba imefilisika
  10. B

    Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

    Wakuu simu yangu ilikua coloured lakini now ni black namaanisha maandishi pamoja na sceen ilikua coloured lakini kwa sasa maandishi ikiwa ni pamoja na gallery vyote vinaonyesha nyeusi hili tatizo halihusiani na kuroot simu wakuu naombeni mnifahamishe
Back
Top Bottom