Ivi aliekuwa anahojiwa alkuwa ngereja au zitto? Sasa wewe umekamatwa badala ya kutetea nafsi yako unaanza kuingza watu wengine tuhuman duh ukixhindwa jitetea n shida xana,
Serikali ya kinafiki huumiza wananchi wake bila wananchi waliowengi kujua achen waxhangulie mana wako usingzin wakija kuamka na wakute hata kile kdogo walichonacho hawana ndipo watajua
Kuingia madarakan kwa kubebwa kuna hangaisha sana ni lazima Mara kwa Mara uwe unacheki kama wananchi wanaridhishwa na unachokifanya au ni hapana ili utafute njia ya kuwaaminisha
Hakika hii imekuwa kansa kwa wafanyakazi kwani awamu hii wanafanya kazi zao kwa uoga na hofu kubwa kitu ambacho kinawafanya wachukie hata kaz zao na hii itawafanya waishi maisha ya kitumwa kwan mm nijuavo uoga kupità kiasi hutengeneza mazingira ya utumwa. Aisee polen sana all government...
Kuongoza kwa sifa creates a very big mistake huyu jamaa anastahili kupimwa na kukemewa kwa nguvu zote kwa blunders zote anazofanya kwan wakenya husema" ukimwona nyani anakula mahindi kwenye shamba la jirani basi huna budi kumfukuza kwani huwez jua kesho atakula mahindi ya xhamba la nani"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.