Bro chamsingi kaa na vijana wako wakupe mawazo kipi wa wapenda au kipi hawapendi coz unaweza waburuza kusoma kumbe wana fani zao ka unavyojua kila MTU ana fani yake so ongea nao washilikishe mawazo.
Jamani mm viroboto vinatesa sana vifaranga nifanyeje coz banda nalifanyia usafi kila siku lakini viroboro vinaingia na kunasa kwenye macho na chini ya mdomo wa kifaranga. Plz msaada naomba
Tatizo ni sm sio kwamba nimeandika kimakusudi na kama MTU akiomba ushauli kwa muda mhuu unapaswa kuangalia hari tulio nao hivyo ni vyema ukamshauri asomee kitu ambacho anaweza kujiajili mwenyewe sio kutegemea ajira katika serikal plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.