Msaada wakuu,kwa ufaulu huu

Msaada wakuu,kwa ufaulu huu

Mkuu naona umefurahi sana,ila ndio hivyo yamentokea,phyz ilikuja sivyo ndivyo ndo maana yani
Sema hapo utafiti kwa kozi za biashara hasa kwa diploma ila ukiweka vizuri form six unaweza pata kozi za ardhi university nyingi tyuu zipo zinazohusisha kombi ya EGM so kazana upo pazuriii little bros
 
Sema hapo utafiti kwa kozi za biashara hasa kwa diploma ila ukiweka vizuri form six unaweza pata kozi za ardhi university nyingi tyuu zipo zinazohusisha kombi ya EGM so kazana upo pazuriii little bros
Ahsante mkuu kwa apo
 
Me nimehitimu kidato cha nne mwaka jana,nilikuwa naomba ushauri wenu wakuu,kupitia matokeo yangu haya yafuatayo,
English B
Math C
Bios C
Geo C
Chem D
Phyz F
Kiswa C
History D
Civic D
Kupitia matokeo hayo ni coz gani ya science ingeweza kunifaa ili niweze kufanya application niweze kupitia diploma,au coz yeyote ile ya business,ushauri wenu wakuu nahitaji kwa hili
Samahanini wakuu naongezea apo,je na kwa coz za engineering kwa ufaulu huo ninaweza kupata kupitia matokeo hayo,na kama nafaa ni kozi ipi ingenifaa kwenye engineering
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom