Kichaa mmoja wa kiume alikatiza porini akiwa uchi kama alivyozaliwa wanyama wote wakatoka spidi kumkimbia.
Fisi akamuuliza simba, imekuwaje hadi wewe mfalme wetu umekimbia?
Simba akamjibu weee! nani hajipendi?
Tokea nzaliwe sijawahi ona mnyama mwenye mkia kwa mbele.
#MAN_VIBES
Mwanafunzi wa Sekondary Kuanzia Form 1-Form 4 weka swali linalokutatiza then usaidiwe na walimu waliopo humu na wenye uelewa na mada husika.
**karibuni Msiogope**
Samahanini Ndungu..Kwanza Habarin Za Wakati Huu. Mimi Nina Swali.. Hivi Ukitaka Kusomea MD Ni Miaka Mingapi After Kumaliza Form 6. Na Je Ada Yake Inacost Ngapi Kwa Mwaka Kuanzia Mwaka Wa Kwanza.
Ufafanuzi Tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.