Recent content by brilliant me

  1. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ab roller kifaa cha mazoezi

    Thank you..!
  2. B

    JamiiForums Tanzania Tunauza vifaa vya mazoezi kwa nyumbani na viwanjani

    Vip effective yake mkuu kwemye tumbo ls uzazi na kitambi cha chini...
  3. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wananikimbia kisa nina tatizo la kuwa na matiti kama ya kike, naombeni msaada

    Habari mkuu.. naomba kujua kama hiki kifaa nawez kutumia mwanamke... Nm nimekitumia wiki mbili sasa naona tumbo limeondoka kwa kasi ya ajabu...
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wananikimbia kisa nina tatizo la kuwa na matiti kama ya kike, naombeni msaada

    Mkuu naomba kujua hiki kifaa wanaweza kutumia wanawake???
  5. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ab roller kifaa cha mazoezi

    Habari zenu mabibi na mabwana!! Ninaomba maelekezo kwa wadau wa mazoezi na pia wale watu wote wanaotumia vifaa mbali mbali vya mazoezi, naomba mnijuze kuhusu ab roller. Je ni sahihi kwa wanawake kukitumia? Nimekuwa nikikitumia wiki mbili sasa yani tumbo linaisha kwa kasi ya ajabu sana.. ila...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Fundi simu hapa uliza chochote

    Samsung A21 kioo bei gani
  7. B

    JamiiForums Tanzania Matukio yangu binafisi ambayo Huwa nikiota yanakuwa kweli Kwa 100%

    Mkuu yani sijui nikuelezeje.. niliota navuka mto mara tatu... nilikuwa nimekwama kwenye jambo miaka 6 baada ya ndoto ya kuvuka mto nimetoka kwenye hilo kasheshe kwa upesi sana baada ya hiyo ndoto..
  8. B

    JamiiForums Tanzania Matukio yangu binafisi ambayo Huwa nikiota yanakuwa kweli Kwa 100%

    Pole sana mimi nipo hivyo yani nikiota ndoto ni balaa na balaa zaidi ile ndoto ikija mara tatu ohoooooo!!!! Kuna dada niliota anapiga picha na mume wake ila mume wake hana mkono. Nikaota tena wamefilisika nikaota huyo dada ana mimba ya miezi 9 anahangaika aende wapi... mpaka sasahivi wana mtoto...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Uganda sasa Kuongea kiswahili rasimu: Kalibu wagand kwene mtanange wa the Titans of East Africa!

    KALIBU. na was ajili rasmi ndio nyie kiboooo
  10. B

    JamiiForums Tanzania Buguruni, Dar: Mtoto wa miaka 10 akutwa amejinyonga chumbani kwake

    Mimi baada ya Mama kufa na kuniacha ni miaka 12 nina amani zoteee. Na furaha na tabasamu tuu.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Buguruni, Dar: Mtoto wa miaka 10 akutwa amejinyonga chumbani kwake

    Kama Mama yangu tu. Hakuwahi kuwa mwema wala kuwa na jema. apumzike kwa amani.
  12. B

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

    Mie nataka miche asilia kabisaa
  13. B

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma, Mmeona Madhara ya kutotizimiza wajibu wenu eneo la kazi? Maumivu ni makubwa mno

    Nashauri wote waliohusika kufanya hizo kazi za ujenzi mainjinia wafungwe na kunyang'anywa kabisa vyeti vyao.
Back
Top Bottom