Recent content by Brighton Nyakusuma S

  1. B

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    kawashika vibaya maana kaanza na hoja zenye ushahidi ulio wazi na zaidi ya yote alipotaka kuthibisha kuhusu uwepo au kutokuwepo kwa hati ya muungano. eti tbc wanajidai kuwa ni poor signal "WALIOZOEA KUISHI KWA UONGO KAMWE HUWA HAWAUTAKI UKWELI" Ngoja utaona baada ya nusu saa ya ufafanuzi wa...
  2. B

    Swali: Je kwa nape na ccm mpinzani ni cdm na dr. Slaa?

    Najaribu kufuatilia ccm mbeya maazimisho miaka 37 CDM ndo inatajwa na kila anayesimama kuongea. Kila anapoongea Nape lazima amtaje Dr. Slaa. Dah! kweli nimeamini cdm na slaa wanaipa ccm mawazo maana kuna vyama zaidi ya 20 Tanzania lakini chama kimoja tu ndo kinatajwa yaani cdm. Kweli cdm...
  3. B

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    Hizi njaa zitatumaliza. Wamuulize Marlaw awasimulie habari njema za magamba. Ila ngoja wazitumie hizo kodi za wananchi badala kufaidiwa na baadhi ya watu kama wabunge. Wanavyoonekana wote wamejivalia ngozi ya kondoo kwa mizigo kumbe.....kama huamini cheki vizuri pigo la JB.
  4. B

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Wilbroad Peter Slaa.
  5. B

    Waliofeli Kidato cha Pili kuendelea na Masomo

    Hili gazeti la mwananchi siku hizi si la kuamini kabisa limekuwa kama ijumaa weekend yani linaendeshwa kwa fununu tu bila uhakika. Kama habari ya tibaijuka iliyoandikwa kwa kujinasibu kupata taarifa hiyo kutoka chanzo chake cha kuaminika imekanushwa na kumuomba waziri msamaha waziri iweje hii...
  6. B

    Majibu ya Waraka wa Manyerere Jackton na Pasco wa JF, kuhusu yanayoendelea CHADEMA

    kaka makene kwa majibu fasaha saaana ulomjibu manyerere nakupa heko na unanifanya niimbe wimbo special unaoendana na wa dini uimbwao "neno litasimama" kwa cdm nauimba hivi; chadema itasimama, chadema itasimama, maccm yatapita lakini chadema itasimama. chadema itasimama, chadema itasimama...
  7. B

    Sifa za Mgombea binafsi ni zipi??

    kuhusu sifa zake soma rasimu ya pili ya katiba imeeleza atatakiwa kuwa na sifa kama zile zilizoainishwa kwa mgombea toka chama chochote cha siasa kilichosajiliwa kisheria. nadhani hata uteuzi wa baraza la mawaziri lazima atafuata utaratibu kama katiba ilivyoainisha kuhusu baraza la mawaziri...
  8. B

    Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    "waheshimiwa watanzania, mie nasema wapigwe tu. Eeeh maana kama wanaambiwa wasifanye hivi....wasifanye vile wao wanalazimisha kufanya, wapigwe tu na mimi nawaambia wasipobadilika watapigwa tu......eeeh maana tumechoka sasa na masalia"
  9. B

    Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    "waheshimiwa watanzania, mie nasema wapigwe tu. Eeeh maana kama wanaambiwa wasifanye hivi....wasifanye vile wai wanalazimisha kufanya, wapigwe tu na mimi nawaambia wasipobadilika watapigwa tu......eeeh maana tumechoka sasa na masalia"
  10. B

    Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    "mimi nasema wapigwe tu, kama wanaelekezwa hivi wanakaidi wanafanya vile wanavyotaka.......aaaaah!, wataendelea kupigwa tu na mimi nasema wapigwe tu maana sasa tumechoka" M.K.P.Pinda©2013.
  11. B

    Hoja ya uchokozi: Ya mansoor na rasimu ya 2 ya katiba

    Kwanza kabisa naomba niwatakie wadau wote maandalizi mema ya kuupokea mwaka mpya wa 2014 masaa machache yajayo. Hoja yangu ni kumhusu waliyemwita msaliti wa msimamo wa ccm kuhusu muundo wa serikali unaofaa kutumika Tanzania kwa wakati huu. Ikumbukwe ccm wanaamini katika mfumo wa serikali...
  12. B

    Hoja ya uchokozi: Ya mansoor na rasimu ya 2 ya katiba.

    Kwanza kabisa naomba nuwatakie wadau wote maandalizi mema ya kuupokea mwaka mpya wa 2014 masaa machache yajayo. Hoja yangu ni kumhusu waliyemwita msaliti wa msimamo wa ccm kuhusu muundo wa serikali unaofaa kutumika Tanzania kwa wakati huu. Ikumbukwe ccm wanaamini katika mfumo wa serikali mbili...
  13. B

    Mikutano ya Zitto na Dr Slaa - Zitto apata mamia, Slaa apata makumi

    mwambieni arudi tena mwezi ujao baada ya usaliti alioifanyia chadema ndo tufanye tathimini bwana tumewachoka MM wenu bana.
  14. B

    Picha: Zitto atikisa KASULU, Mkutano wa hadhara

    Teh teh teeeeee!!!!!!! mbona mlipotofautiana na mansoor kimawazo hamkuacha demokrasia ichukue nafasi yake? au hiyo dekrasia mmeiona kwa MM na kikundi chake haramu? dawa ya MM ni moja tu kumfukuza cdm ili tuione nguvu yake ya kinafiki anayojivunia huko kigoma na mm wenzake kama Kaburu na...
Back
Top Bottom