Recent content by Brighton Fustine Magige

  1. B

    GE2020 Hafla ya kuapishwa Dkt. John Magufuli kuendelea na Awamu ya Pili ya Urais wa JMT uwanja wa Jamhuri, Dodoma 05 Oct 2020

    Hivi ni kweli TB Joshua amehudhuria Kuapishwa kwa Magufuli? Naombeni hata ushahidi wa picha!
  2. B

    Unaweza kujibu maswali haya magumu ya Askofu Bagoza kuhusu Uchaguzi 2020?

    1. Ukiiba fedha za umma unaitwa mwizi/ fisadi. Ukiiba kura uitwe nani? 2. Ukilazimisha kufanya mapenzi kwa mtu unaitwa mbakaji. Ukilazimisha kututawala tukuiteje? 3. Ukichaguliwa kihalali unaitwa kiongozi. Ukichaguliwa kwa Ujanja, kwa kura za ujanja, kimagumashi tukuiteje?
  3. B

    Tusitengeneze hamaki: Hizo kura feki zinapigwaje?

    Ina maana pia huna habari ya kuwa kuna baadhi ya vituo wasimamizi/mawakala wametolewa kwa nguvu.
  4. B

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    Sijui kwanini hukuwepo tangu jana mchana! NIMEFANIKIWA. Nimepata ushuhuda wa baadhi ya pic kutoka twitter!
  5. B

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    Pakua hii browser (Opera Web Browser | Faster, Safer, Smarter | Opera) then ukimaliza search addon au extension yeyote ya VPN.
  6. B

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    UNA UHAKIKA HUO MKUU? JE VPN YA KWENYE OP INA UWEZO WA KU-UNBLOCK HIDDEN WEBSITE? JE UMEJARIBU KWAKO IMEFANYA KAZI?
  7. B

    GE2020 Kigoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Kumekucha! Kigogo atusaidie kuverify matokeo. Maana siyaamini kabisa MaCCM.
  8. B

    Kura ya mapema: Crossing the Rubicon

    Ninatamani CCM ifutwe kabisa kwenye uso wa ardhi ya Wazanzibari. Haiwezekani Zanzibar liwe taifa la mwisho barani Afrika kupata uhuru wake!
Back
Top Bottom