Recent content by brightliz

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mweusi ana mvuto zaidi akiwa uchi wa mnyama kuliko mwanamke mweupe

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani hawa watu sio wakuwaamini kabisa ni Kama wanasiasa tu
  2. B

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wakenya na waganda wanaongea sana kiingereza kuliko sisi licha ya wote tulitawaliwa na muingereza?

    Wataanzania tukiacha lugha za makabila kiswahili ndio kinatuunganisha ili muhaya na muhehe waweze kuelewana na kingereza Kwetu ni lugha ya tatu, na Kwa maana hiyo ni kama sio lazima sana ni Ziada. Tofauti na wenzetu wa kenya ikitoka lugha ya kabila lao, ili mkikuyu aelewane na Mmeru wanazungumza...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Hivi, kwa nini wanatudhalilisha namna hii?

    Tatizo ni sisi watu weusi wenyewe kutokujikubali, na tunaona kama ngozi nyeupe ndio yenyewe, kujidharau Sisi wenyewe, kutojiamini. Kiasi Kwamba hata mzungu au mchina anachukua advantage hapo yakutuona sisi ni watu wa chini na wao ni zaidi yetu
  4. B

    JamiiForums Tanzania Huwezi amini nimepigiwa mke wangu kweupe

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] , daah unapigilia msumali kwa kidonda mkuu
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wenye madeni makubwa na hatujui tutayamalizaje tuliwazane hapa

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  6. B

    JamiiForums Tanzania Wenye madeni makubwa na hatujui tutayamalizaje tuliwazane hapa

    Wanatengeneza pesa Wale, lazima azungumzie kitu cha kukuhamasisha na sio changamoto na according to them challenges zote ni fursa kwahiyo ni wewe kujiongeza
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    Duuh kama uchafu humu mitaani tunakula sana
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
  10. B

    JamiiForums Tanzania Wizara ya elimu, BASATA MC pilipili achukuliwe hatua

    Povu kama lote
  11. B

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kuandika maneno yenye busara kwa kuanzia na "Nimejifunza ya kwamba....."

    Nimejifunza kwamba unapotaka kufanya jambo fulani na upo njia panda kuna msukumo wa nje na wa ndani hakika ufuate wa ndani " listen your heart" Sent using Jamii Forums mobile app
  12. B

    JamiiForums Tanzania Taja tabia yako ujue nani ana tabia kama yako

    Mimi mkimya, ninahasira, nikikosewa naweza samehe lakini sisahau, mtu akininunia kwa sababu za kijinga sijishushi japo moyoni dhamira inanisuta kwa same he na kutoa kinyongo but kibinadamu siwezi,siwezi mzoea Mtu haraka, msiri wa kiwango cha juu kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. B

    JamiiForums Tanzania Taja mzinga mkubwa kuliko wote ulishawahi kupiga ama kupigwa

    [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. B

    JamiiForums Tanzania Parking at your own risk

    Watu wangu wanapotea kwakukosa maarifa! Neno la bwana Sent using Jamii Forums mobile app
  15. B

    JamiiForums Tanzania Hivi Kagera iliikosea nini Serikali mbona inatengwa kiasi hicho?

    Mkuu hujatembelea nyanda za juu kusini ukiacha Mbeya mikoa hii mingine km Iringa, Ruvuma, Njombe ni worse na hakuna hata mwenye mpango na hii mikoa hali mbaya na hakuna hata mtu anaizungumzia yaani na kwa bahati mbaya wabunge wa hayo maeneo ni wa chama tawala asilimia kubwa basi umasikini...
Back
Top Bottom