Mimi mkimya, ninahasira, nikikosewa naweza samehe lakini sisahau, mtu akininunia kwa sababu za kijinga sijishushi japo moyoni dhamira inanisuta kwa same he na kutoa kinyongo but kibinadamu siwezi,siwezi mzoea Mtu haraka, msiri wa kiwango cha juu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app