Leo nimekutana na kesi inayomhusu mchina mmoja kamtukana mtanzania kwa kumuita nyani, kesi ipo police ila sijui nini kilijiri kwenye hiyo kesi. Ninachotaka kujadili hapa ni kwamba imekuwa ni kawaida sana kwa hawa watu weupe yaani wazungu, waarabu, wachina na wengineo wanaojiona bora kwa sababu ya weupe wao kututukana sisi waafrika kwa kutuita nyani kwa sababu tu ya ngozi yetu nyeusi.
Tumeshuhudia mpaka watu maarufu wakiwemo wanamichezo mbalimbali katika ligi kubwa za ulaya na hata zile za FIFA wanandinga weusi wakirushiwa ndizi kwa kufananishwa na nyani. Kwa kweli ubaguzi huu hauwezi kwisha kwani upo kwenye damu zao hawa wenzetu.
Hapa sisi ngozi nyeusi ni lazima tutafute suluhisho juu ya suala na tuache kulalamika kuwa tunabaguliwa na kudharauliwa.
Hivi kwa nini na sisi tusiwaite manguruwe? Maana kama sisi wanatuita nyani na wao tuwaite nguruwe maana wamefanana ngozi zao na nguruwe, wakitutupia ndizi sisi tuwatupie pumba au mabunzi. Tuache kabisa kulalamika sasa hivi ila na sisi tujibu mapigo maana tumechoka, labda njia hii itasaidia kuliko kulalamika. Kumbukeni hii imekaa kiasili zaidi kwani hata mtu akiitwa jina la utani ambalo halipendi basi watu ndio huzidi kuliita, dawa yake ni kutafuta jina baya litakalo mkera anayekutania na wewe umuite jina hilo baya. Lakini tukiendelea kulalamika kwamba kila siku tunatukanwa, hawa jamaa hawataacha kutuita nyani. Kuanzia leo na sisi tuwaite pigs (manguruwe) labda watabadilika.
Nawasilisha.
Tumeshuhudia mpaka watu maarufu wakiwemo wanamichezo mbalimbali katika ligi kubwa za ulaya na hata zile za FIFA wanandinga weusi wakirushiwa ndizi kwa kufananishwa na nyani. Kwa kweli ubaguzi huu hauwezi kwisha kwani upo kwenye damu zao hawa wenzetu.
Hapa sisi ngozi nyeusi ni lazima tutafute suluhisho juu ya suala na tuache kulalamika kuwa tunabaguliwa na kudharauliwa.
Hivi kwa nini na sisi tusiwaite manguruwe? Maana kama sisi wanatuita nyani na wao tuwaite nguruwe maana wamefanana ngozi zao na nguruwe, wakitutupia ndizi sisi tuwatupie pumba au mabunzi. Tuache kabisa kulalamika sasa hivi ila na sisi tujibu mapigo maana tumechoka, labda njia hii itasaidia kuliko kulalamika. Kumbukeni hii imekaa kiasili zaidi kwani hata mtu akiitwa jina la utani ambalo halipendi basi watu ndio huzidi kuliita, dawa yake ni kutafuta jina baya litakalo mkera anayekutania na wewe umuite jina hilo baya. Lakini tukiendelea kulalamika kwamba kila siku tunatukanwa, hawa jamaa hawataacha kutuita nyani. Kuanzia leo na sisi tuwaite pigs (manguruwe) labda watabadilika.
Nawasilisha.