Wanaoisifia hiyo Quran Yao na kusoma sana na kuikariri, sayansi yenyewe hawaijui, kwenye mitihani wanaruka na zero. Uvumbuzi na utengenezaji wa vifaa vya kisasa unafanywa na watu wasioijua Quran.
Tulia dogo, bado tunafanya ile kwa kitaalamu inaitwa upembuzi yakinifu na waliochelewa kuona barabara Iko kwenye ukarabati waone [emoji1787][emoji1787].
Mbona mnatembea na dada zetu wanaokula kitimoto ?! Tena mnakula denda linalotokana na ptotini ya kitimoto !! Wantama wasioliwa ni wengi kwa nini shida iwe kwa kitimoto tuu ??! Elezea..
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Haina tofauti na kiongozi X aliyeenda kuangalia mpira uwanjani, halafu vyombo vya habari vinatangaza kiongozi X amewaongoza mashabiki wakati kila mtu ameenda kwa interest zake mwenyewe !!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Siku wakikutembelea ukaanza kukkojoa dagaa wanatoka kwa rivers huku wakikwaruza urinary tract ndiyo utajua wapo.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.