Recent content by Brightfame

  1. Brightfame

    Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

    Issue ndogo sana hii, mpeleke mkeo akasomee udaktari ili asaidie na wengine
  2. Brightfame

    Serikali ipo tayari kununua Mashangingi kwa bilioni 190 ila mabasi ya Mwendokasi hela hawana

    Bado wananunua magoli, watakuja tuu kwenye mwendokasi
  3. Brightfame

    Geita: Mkoa "tajiiri" usiokuwa tajiri

    Kwa kuwa wewe mi mjanja kuliko wana Geita, njoo uchimbe utajirike uoneshe mfano.
  4. Brightfame

    Askari Polisi kutumia silaha za moto za Automatiki (SMG, ASSAULT RIFLES) siyo sahihi, ni silaha za Kivita

    Wewe jambazi nini ?! Unataka Askari wapewe gobore ili ukija na SMG yako polisi washindwe kupambana na wewe ?!
  5. Brightfame

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Wafanyakazi wenu wanapokuja kutuunganishia umeme hasa unapopewa mita mpya wanadai malipo tena kwa nguvu!! Ndiyo utaratibu wenu ?! Mita si tumelipa kwa control number ?! Hizi wanazodai zinaenda wapi ?! Tena wanadai mpaka 50,000/= !! Tuwekeni wazi hapa.
  6. Brightfame

    Mapinduzi kutoka Roman Catholic (RC) hadi Tanzanian Catholic (TC) kutokana na tamko la papa

    Unabii unatimia,dalili za wazi za mpinga krristo kutawala Ulimwengu zilizotabiriwa ndiyo hizi.
  7. Brightfame

    Je, ualimu ni kwa ajili ya watu maskini?

    Wakitaka kujua umuhimu wa walimu, shule na vyuo vifungwe hata kwa miezi 6
  8. Brightfame

    Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

    Sawa ila kuwaua mijusi na wadudu si dhambi au ?!
  9. Brightfame

    Nani anavikumbuka na alisoma hivi vitabu?

    Duu, umenikumbusha mbali sana, vitbu vya Safari ya Bulicheka na mkewe Lizabeta ninavyo copy mojamoja. Nenda Case store bookshop Arusha vinapatikana !!
  10. Brightfame

    Nina mashaka huyu mwanaume hana uwezo wa kunipa mimba

    Acha kuteseka !! Nitafute nikupe mimba, ninazo nyingi, sijui unahitaji ngapi ?!
  11. Brightfame

    Kwa Upuuzi huu wa Waafrika, kwanini tusidharaulike tu na Wazungu miaka yote?

    Sawa wamekusikia, kwa walimu ni failures kafundishe wewe uliyefaulu ili tulinganishe matokeo hapo baadae
  12. Brightfame

    Benki ya Dunia yasitisha Mikopo Mipya ya Uganda kutokana na Sheria ya Kuzuia Mapenzi ya Jinsia Moja

    Haya ni maandalizi ya utawala wa mpinga Kristo,ambapo serikali moja ya dunia, dini moja, uchumi mmoja, na mtawala mmoja utashika hatamiu.
  13. Brightfame

    Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

    Baada ya Dar es Salaam mji unaofuatia ni Mwanza kwa ukubwa na ujanja !! We unatokea mkoa au kanda ipi tulinganishe unachokizungumza ?!
  14. Brightfame

    Ujenzi Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi) mkoani Mwanza wafikia asilimia 75

    Kwa sababu huishi maeneo hayo, acha wivu wa kijinga !! Kwani barabara za ghorofa za Dar zina faida gani kwa mkazi wa kanda ya ziwa ?! Hata standard gauge utasema haina faida kisa inakwenda bara usipopapenda !!
Back
Top Bottom