Kati ya Israel, Vatican na USA ni Nani mtawala wa ulimwengu huu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,788
159,090
Kuna watu wanaamini kwamba Vatican kupitia Papa ndio mtawala na kiongozi mkuu wa ulimwengu huu.
Wameenda mbali na kusema kwamba Papa ndio Mpinga Kristo aliyetabiriwa na kupewa secret code 666.

Waamini hao wanaamini Papa anatawala ulimwengu kwa Siri lakini siku chache zijazo atajidhihirisha na atatawala dunia kwa fimbo ya chuma.

Wengine wanaamini kwamba dunia inatawaliwa na Israel Wayahudi. Wao ndio wameushikilia uchumi wa dunia hii na wao ndio mababa WA sayansi na teKnolojia zote chini ya jua.

Wapo wanaosema kwamba USA Ndiyo mtawala wa dunia hii.

Ndugu Mwana JamiiForums wewe unasemaje kuhusiana na hili?
 
Kuna watu wanaamini kwamba Vatican kupitia Papa ndio mtawala na kiongozi mkuu wa ulimwengu huu.
Wameenda mbali na kusema kwamba Papa ndio Mpinga Kristo aliyetabiriwa na kupewa secret code 666.

Waamini hao wanaamini Papa anatawala ulimwengu kwa Siri lakini siku chache zijazo atajidhihirisha na atatawala dunia kwa fimbo ya chuma.

Wengine wanaamini kwamba dunia inatawaliwa na Israel Wayahudi. Wao ndio wameushikilia uchumi wa dunia hii na wao ndio mababa WA sayansi na teKnolojia zote chini ya jua.

Wapo wanaosema kwamba USA Ndiyo mtawala wa dunia hii.

Ndugu Mwana JamiiForums wewe unasemaje kuhusiana na hili?
Vatican, Marekani ni bodyguard tuu.
 
Kuna watu wanaamini kwamba Vatican kupitia Papa ndio mtawala na kiongozi mkuu wa ulimwengu huu.
Wameenda mbali na kusema kwamba Papa ndio Mpinga Kristo aliyetabiriwa na kupewa secret code 666.

Waamini hao wanaamini Papa anatawala ulimwengu kwa Siri lakini siku chache zijazo atajidhihirisha na atatawala dunia kwa fimbo ya chuma.

Wengine wanaamini kwamba dunia inatawaliwa na Israel Wayahudi. Wao ndio wameushikilia uchumi wa dunia hii na wao ndio mababa WA sayansi na teKnolojia zote chini ya jua.

Wapo wanaosema kwamba USA Ndiyo mtawala wa dunia hii.

Ndugu Mwana JamiiForums wewe unasemaje kuhusiana na hili?
Jibu ni moja; ( Israel baba wa sayansi)
1. Papa anamwamini Yesu: Myahudi/Israel
2. Mmarekani wagunduzi na wanasayansi wakubwa ni Wayudi
3. Myahudi...baba wa sayansi
 
Kuna watu wanaamini kwamba Vatican kupitia Papa ndio mtawala na kiongozi mkuu wa ulimwengu huu.
Wameenda mbali na kusema kwamba Papa ndio Mpinga Kristo aliyetabiriwa na kupewa secret code 666.

Waamini hao wanaamini Papa anatawala ulimwengu kwa Siri lakini siku chache zijazo atajidhihirisha na atatawala dunia kwa fimbo ya chuma.

Wengine wanaamini kwamba dunia inatawaliwa na Israel Wayahudi. Wao ndio wameushikilia uchumi wa dunia hii na wao ndio mababa WA sayansi na teKnolojia zote chini ya jua.

Wapo wanaosema kwamba USA Ndiyo mtawala wa dunia hii.

Ndugu Mwana JamiiForums wewe unasemaje kuhusiana na hili?
Kwa sasa mtawala wa DUNIA hii ni ILLUMINATE,chini ya mpango shirikishi wa MATAIFA YA MAGHARIBI,ROME na TAAISIS YOYOTE inayo surport maswala ya KUBANDUANA [ushoga]....hao wote ndo wanaotawala DUNIA
 
Kuna watu wanaamini kwamba Vatican kupitia Papa ndio mtawala na kiongozi mkuu wa ulimwengu huu.
Wameenda mbali na kusema kwamba Papa ndio Mpinga Kristo aliyetabiriwa na kupewa secret code 666.

Waamini hao wanaamini Papa anatawala ulimwengu kwa Siri lakini siku chache zijazo atajidhihirisha na atatawala dunia kwa fimbo ya chuma.

Wengine wanaamini kwamba dunia inatawaliwa na Israel Wayahudi. Wao ndio wameushikilia uchumi wa dunia hii na wao ndio mababa WA sayansi na teKnolojia zote chini ya jua.

Wapo wanaosema kwamba USA Ndiyo mtawala wa dunia hii.

Ndugu Mwana JamiiForums wewe unasemaje kuhusiana na hili?
Kwa sasa mtawala wa DUNIA hii ni ILLUMINATE,chini ya mpango shirikishi wa MATAIFA YA MAGHARIBI,ROME na TAAISIS YOYOTE inayo surport maswala ya KUBANDUANA [ushoga]....hao wote ndo wanaotawala DUNIA
 
Kuna watu wanaamini kwkaamba Vatican kupitia Papa ndio mtawala na kiongozi mkuu wa ulimwengu huu.
Wameenda mbali na kusema kwamba Papa ndio Mpinga Kristo aliyetabiriwa na kupewa secret code 666.

Waamini hao wanaamini Papa anatawala ulimwengu kwa Siri lakini siku chache zijazo atajidhihirisha na atatawala dunia kwa fimbo ya chuma.

Wengine wanaamini kwamba dunia inatawaliwa na Israel Wayahudi. Wao ndio wameushikilia uchumi wa dunia hii na wao ndio mababa WA sayansi na teKnolojia zote chini ya jua.

Wapo wanaosema kwamba USA Ndiyo mtawala wa dunia hii.

Ndugu Mwana JamiiForums wewe unasemaje kuhusiana na hili?
Kanisa ni Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume. Hao wanaongea habari ya 666 na kumuhusisha Papa
ni wababaishaji wasio lijua neno wala kweli.
 
Hii ndyo hierarchy ya utawala halisi wa ulimwengu huu.

IMG_20230402_102760.jpg
 
Israel, kifupi mayahudi ndio jamii ya mwanzo kujanjaruka, na wameshika sehemu muhimu ya uchumi wa dunia, either wakununue au wakushushe ulipo, wao ni asilimia moja ya marekani lakini wanashikilia ngazi muhimu za maamuzi, wapi kila nchi.
 
Hakuna mtawala wa dunia, dunia inajitawala. Labda mtawala wa magorofa, simu sijui internet na fedha vitu ambavyo dunia ikijiamulia inajiletea tetemeko tu vinafutika kwenye uso wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom