Huku mwanza tumepewa leo Vishkwambi, msosi toka jana tunapiga tu sema jana tulilalamika kuwa ni mdogo leo wakaongeza share, na posho tumeambiwa ni elfu 40 kwa siku 19, hizi ni kwa semina tu, bado siku za kazi hatujaambiwa ni sh. ngapi tutapewa
Kaka chukua maamuzi mapema achana na jamii itakuchukuliaje, utakuja kufa bure nina mfano halisi nyumbani kwetu, kuna mtu nilimshauri aachane na mke wake kutokana na mambo aliyokuwa anamfanyia, akasema jamii itanionaje kwa sababu huyo alikuwa ni mke wake wa 3 lakini tulimzika baada ya huyu...
We usizile kabisa, jifanye fala fulani hivi, ila kwenye mbunye mchakate binua, inamisha, laza nk...tuone hiyo Masters yake kama ita-apply, vile vile lizalishe faster faster
Ukijiuliza JIWE sasa hivi yupo wapi baada ya jaribio lake la kumuua Tundu Lissu kushindikana basi huna wasiwasi na chochote kinachojiri, Uzuri sote pua zetu zinaangalia chini, ni hayo tu kwa sasa ndugu zangu, au nakosea?
Siyo kila jambo ambalo Bagonza anawaza au anaandika ni la kukubali-kukubali tu! hapo ni Rais ambaye ni mkuu wa nchi na serikali, na hilo ni tukio kubwa, kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima tujue nini kilichozungumzwa na hawa watu wawili, na Lissu ametoa tu kwa ufupi yale yaliyozungumzwa, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.