jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 991
- 1,412
Hapana kiongozi acha tu maana humu Kuna watu wanajiona ni mataita wakudadisi nakunya distinction ya kipi cha ukweli na kipi cha uongo basi mm nimewapa fursa hiyo wachunguze ikiwezekana wasafiri hata huko nilikopita. Huu uzi ulikuwa una sehemu mpaka ya 25 na hayo matukio niliyoeleza ni baadhi tu na nichamtoto maana nilitaka kueleza madhira niliyopitia mpaka ningekuja kueleza nimefikaje chuo lakini mtu anadandia treni kwa mbele. Na Leo sio kucheka na kufrahishana Bali nikukupa funzo kuwa Kuna watu wanapitia magumu mpaka shilingi ya kuchota ndogo moja kwa wiki haipati lakini tunapishana nao barabarani na huko mbeleni yaani sehemu ya kumi na tano na sehemu ya kumi na saba ambayo sijaweka humu kutokana na baadhi ya wapuuzi lilah Kuna mtu angetoa machozi kwa misukosuko iliyonipata. Namshukuru mungu ni mzima nawatakia jioni njema
Usisikilize hao wanaokukatisha tamaa, endelea kutuletea simulizi yako! Nakuhakikishia hii inaweza kutengenezwa movie na ikakulipa balaa! So ukiendelea na simulizi mpaka mwisho kuna faida kubwa sana utapata! Unaweza shangaa mzee baba unapata connection ya Hollywood!! Karibu uendelee na simulizi. Tunasubili