Recent content by bridal

  1. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi nipo ARUSHA DC sio vijijin kama zlvyo halmashauri nyngne hii ipo mjni kabisa hapa inapaka na manispaaa, nahitaji kuhamia DSM AU KIBAHA MJI Sent using Jamii Forums mobile app
  2. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni Mwalimu wa sekondari nipo arusha dc hapa Jijini Arusha, nahitaji kubadilishanankituo cha kazi kwenda Dar popote au Kibaha mji... mawasiliano 0657504159
  3. B

    Tatizo la LUKU kuisha haraka

    Hilo tatizo wadau mimi pia linanisumbua sana lmeanza mwez wa nne hivi. Lakn zaman umeme tukiweka wa elfu 20 tunatumia mwez na sku kadhaa sasahvi ni wki mbili tu. Nashukuru kwa majbu nmezima main switch nione itakuaje
  4. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Arusha mjni hapa nije Kibaha mji, dar au mkuranga maeneo kuanzia kongowe mpk kisemvule..mawasiliano 0688053521 au 0657504159
  5. B

    Line ya Tigopesa

    Habarini wandugu, nahtaji line ya uwakala wa tgo pesa.. Ntaipataje na shilng ngapi. Nipo Arusha
  6. B

    Loan Board wanaanza kutukata lini?

    Mimi bnafsi nmeanza kukatwa mwezi uliopita.. Na nmeangalia fomu ya deni imeandikwa loan repayment must commence/begin before 01 Dec 2015.... So sina jinsi ya kulalamika kuwa mwaka haujaisha tangu nianze ajiraa
  7. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo ARUSHA DC nije KIBAHA au Bagamoyo,, idara sekondari,, wasliana nami PM
  8. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo arusha dc nije kibaha.,,0688053521
  9. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo arusha dc nije kibaha, idara sec
  10. B

    No journey No work DSM

    Wew upo bara ya wapi ndgu, maana hata mikoani magr hayajatoka
  11. B

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Jamani wale waliopangwa arusha dc tukutane hapa, tujue namna ya kufahamiana itakuwa poa,,
  12. B

    Tarehe ya kuripoti kwa waalimu wapya

    Hyo ishu jamani bado haieleweki,, chuo cha sekomu wanadai walipeleka majna husika lakn tamisemi ndio wamejchanganya wenyewe wame misplace document
  13. B

    TAMISEMI kuachia mzigo usiku

    Hata waseme tarehe 1 sio mbali tutasubiri...
  14. B

    TAMISEMI kuachia mzigo usiku

    Kuanzia saa nne na kuendelea mambo yatakuwa poa... Saahzi asubuh sana ndio kwanza wanawasha pc waupload mzigo.
Back
Top Bottom