Mimi nipo ARUSHA DC sio vijijin kama zlvyo halmashauri nyngne hii ipo mjni kabisa hapa inapaka na manispaaa, nahitaji kuhamia DSM AU KIBAHA MJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Mwalimu wa sekondari nipo arusha dc hapa Jijini Arusha, nahitaji kubadilishanankituo cha kazi kwenda Dar popote au Kibaha mji... mawasiliano 0657504159
Hilo tatizo wadau mimi pia linanisumbua sana lmeanza mwez wa nne hivi. Lakn zaman umeme tukiweka wa elfu 20 tunatumia mwez na sku kadhaa sasahvi ni wki mbili tu. Nashukuru kwa majbu nmezima main switch nione itakuaje
Mimi bnafsi nmeanza kukatwa mwezi uliopita.. Na nmeangalia fomu ya deni imeandikwa loan repayment must commence/begin before 01 Dec 2015.... So sina jinsi ya kulalamika kuwa mwaka haujaisha tangu nianze ajiraa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.