Kama sio mtu wa hivi vitu, ni ngumu sana kufanya kwa kuelekezwa hapa. Hata hiyo KMS bado huwa kuna namna haipatikani kiwepesi, japo ni bure.
CMD ndo usiseme
Jaribu YouTube, napo kama sio wa hivi vitu hutoboi
Kuna namna hiki unachosema ni kweli. Akijiona ndani anajijua kabisa kua he's great, probably wanaomzunguka nao wanajua kua jamaa ana kitu upstairs, ila uhalisia wa maisha umempa disappointments
Kama unavyosema ndivyo unavyojisikia, then changamoto yako sio kubwa sana.
Ukipata msaada sahihi unavuka mapema sana.
Umekutana na disappointments flan, umeshindwa kuzihimili kihisia, zimekupa mfadhaiko mkubwa uliokupa hiki unachokisema hapa.
Kuja kuandika hapa ni ishara ya kua tatizo lako ni...
Unauhakika na digit sita unazozisema mkuu? Yani digit sita kubwa kuliko zote ni laki 9, tisini na tisa elf, mia tisa tisini na tisa (999,999). Una uhakika hii laki tisa ikiwa kwenye account jamaa ataona thamani ya maishaa..🤔🤔!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.