Recent content by Brian Spilner

  1. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Mbona swala jepesi sana. Unajaribu kuweka mawazo memgi yasiyo na ulazima. Bikra ni adimu ni kweli. Ipo overrated sio kweli. Kadiri imekua adimu ndio thamani yake imeongezeka. Ila wewe kutokuanayo haitakiwi kua fimbo ya wewe kujinyanyasa au mtu kukunyanyasa kisaikolojia. Wewe bado ni mwanamke...
  2. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Mkuu umri wanini hapo? kigezo kilipaswa kua awe anahema tuu.
  3. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Kama hautaki mbwembwe za ramani ulizoona mbweni, na uwe na idea ya ujenzi angalau kidogo( ili usiokotwe), unang'ata meno unapaua, unapumzika kukusanya nguvu za finishing
  4. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Ukimtembelea mgonjwa hospitalini kisha akuulize ni saa ngapi, usimwambie

    Nasikia pia akipata nafuu ya ghafla ujiandae
  5. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Ukimtembelea mgonjwa hospitalini kisha akuulize ni saa ngapi, usimwambie

    😄kwanini halmashauri mkuu
  6. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Jinsi AI Inavyoharibu Maisha Yako Kimya Kimya

    AI ni chombo cha kukusaidia. Sio mbadala wa ubongo wako
  7. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Bolt fundisheni madereva kufata ramani kuepusha usumbufu

    Huduma hii inachangamoto za kiteknolojia kwa pande zote, dereva kwa abiria. Abiria anaona kabisa dereva yupo umbali fulani, anacomfirm order ,ukipiga simu anauliza uko wapi, ukijibu anasema ah upo mbali sana Cancel. Unajiona kabisa upo studio, ramani inampa dereva location ya Argentina, au...
  8. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anawasifu wanaume waliojenga nyumba

    Hapa pana mchakato mrefu lakini unaowezekana kwa asie na haraka. Ila kwakua yeye kasema alinunua. Tumpe mbinu za kufanya little by little. Na mimi nitaweka mawazo yangu.
  9. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anawasifu wanaume waliojenga nyumba

    Mwanzo mzuri sana. Kina ukubwa gani? Umechakata nyaraka za umiliki?
  10. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anawasifu wanaume waliojenga nyumba

    Tuanze kwenye namna uliyopata kiwanja mkuu
  11. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Mkuu mimi nimeacha. Hata mnilazimishie usingizini😄
  12. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Kosa lao ni kutumia mbinu za kishamba. Kabla sijaacha uzinzi sikuwahi kutongoza kiivo hata siku moja. Na niliziambulia sio haba. Wangetumia approach sahihi hata hapa usingewaleta.
  13. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Kiwanja nilichonunua Tsh. Milioni 4 kilivyonipa zaidi ya Tsh. Milioni 20

    Sophy umenikumbusha mbali sana 2022 kuna jamaa alihitaji laki 4 kwangu. Nilimpa. Baada ya miezi mitatu akaniambia ameshindwa kulipa, nimuongezee laki 3 anipe kiwanja. Kiwanja kilikua kidogo, na kipo mahali hapajachangamka so sikukipenda. Ila kwakua ni jamaa angu nilikubali. 2023 nilihitaji...
  14. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Umeona hata kelele za audience yao zimepinga
  15. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Mapemaa
Back
Top Bottom