Recent content by Brian Spilner

  1. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Hili sasa ni uongo
  2. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Baki hapo mpaka mwisho wa mwezi mei walipwe hela za tumbaku uone maisha yao halisi.
  3. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nimeshusha bei tena Honda Ace 150

    Huyu jamaa ni legit mkuu. Mimi nimeongeanae. Shida ni location yake, aina ya bidhaa na hali zetu wanunuaji. Yupo mbeya peripheral Wanunuzi wengi wanapenda boxer Wachache wenye will ya kuinunua hatuna hela.
  4. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nimeshusha bei tena Honda Ace 150

    😄😄 wataa💦
  5. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nimeshusha bei tena Honda Ace 150

    Nguvu ya mwanamke blaza
  6. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Evaline Munisi: Ni ushindi wa Weledi, Mkakati wa Kisiasa, au Rais amevunja Katiba?

    Jibu fupi, huyo hakua mpinzani, NCCR kama chama pinzani ni ya miaka ya nyuma sana. Ukitumia macho kuangalia utaona vyama vingi vya upinzani, ukitumia fikra kutazama utaona kinyume chake. Labda uangalie jinsi yakuweka iwe kama hoja ya tatu kwamba hajateua mpinzani
  7. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Atletico Madrid 1-1 Arsenal | UEFA Semi Final First Leg | Riyadh Air Metropolitano | 29 Aprili 2026

    Mimi ni arsenal ila atletical wakicheza kama walivyocheza na barca, tutalala na viatu.
  8. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Atletico Madrid 1-1 Arsenal | UEFA Semi Final First Leg | Riyadh Air Metropolitano | 29 Aprili 2026

    I beg to differ I strongly believe PSG anaenda kufa ujerumani.
  9. Brian Spilner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kuishi bila kazi yeyote, tusaidiane

    Sikumbuki kusema hatapata kipato, frequency ya in and out za wateja.
  10. Brian Spilner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kuishi bila kazi yeyote, tusaidiane

    Unauhakika ni wengi kuliko wale wanaopenda kuhudumiwa na wanaume?
  11. Brian Spilner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kuishi bila kazi yeyote, tusaidiane

    Huduma hii kwaajili ya akina nani. Huyu ni wakike na wanawake hupenda kuhudumiwa kucha na wanaume na wanaenjoy kweli.
  12. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania iPhone 14 promax bei 1 M

    600k mfuko wa shati hapa
  13. Brian Spilner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kuanza kukaa mbali na ngono (Celibacy) nimeanza kuhisi mabadiliko

    Blaza una miaka mitano hujaona ndani..🤔🤔 Au umemaanisha nini?
  14. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

    Kama sio mtu wa hivi vitu, ni ngumu sana kufanya kwa kuelekezwa hapa. Hata hiyo KMS bado huwa kuna namna haipatikani kiwepesi, japo ni bure. CMD ndo usiseme Jaribu YouTube, napo kama sio wa hivi vitu hutoboi
Back
Top Bottom