Huyu jamaa ni legit mkuu.
Mimi nimeongeanae. Shida ni location yake, aina ya bidhaa na hali zetu wanunuaji.
Yupo mbeya peripheral
Wanunuzi wengi wanapenda boxer
Wachache wenye will ya kuinunua hatuna hela.
Jibu fupi, huyo hakua mpinzani, NCCR kama chama pinzani ni ya miaka ya nyuma sana.
Ukitumia macho kuangalia utaona vyama vingi vya upinzani, ukitumia fikra kutazama utaona kinyume chake.
Labda uangalie jinsi yakuweka iwe kama hoja ya tatu kwamba hajateua mpinzani
Kama sio mtu wa hivi vitu, ni ngumu sana kufanya kwa kuelekezwa hapa. Hata hiyo KMS bado huwa kuna namna haipatikani kiwepesi, japo ni bure.
CMD ndo usiseme
Jaribu YouTube, napo kama sio wa hivi vitu hutoboi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.