Recent content by Brian Spilner

  1. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Na bado mkaachana
  2. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nina kereka na mume wa x wangu amemtelekeza mke, ananisumbua

    Angalieni rika la mtoa mada kwa tathmini hii.. Yeye alikua na huyo anaemuita shory, baadae akawa x, baadae "shory" akaolewa, amezaa watoto wanne, wote wapo umri wa shule.. Mtoa mada atakua wa rika gani? Rika hilo na uandishi huu vinaoana? Otherwise tukubali kusukuma muda tuu. Maana naona...
  3. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania NBC PL imeanza tayari ila EPL,SERIA A,LA LIGA,BUNDAS,LEGEA 1 bado ila nbc itakua yamwisho kuisha

    Na hii ina timu chache sana, 16. EPL na baadhi ya ligi umetaja hapo zina timu 20, ila kama ulivyosema, hii itakua yamwisho kuisha
  4. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Hivi umetumia akili kweli au umeandika tu Kwamba ndani ya JMT kuna federation, aisee... Tena umeweka na details kabisa kwamba nchi mama ya Tanzania na nchi mtoto ya Zanzibar. Uko serious kabisa?
  5. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekazana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Wasabato wanakazana na amri ya nne ila amri nyingine zote, ikiwemo amri kuu ya upendo si kitu kwao. Injili yao imejikita kwenye amri ya nne, zipo mpaka nyimbo zakusimanga makanisa mengine kisa amri ya nne. Wakati injili ni habari njema za uzima wa milele alizoleta Yesu. Kama ni amri basi...
  6. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Lissu ana hoja: DPP haheshimu amri za mahakama

    Mahakama yeye, bunge yeye na serikali yeye, ndiomaana watu wanadai katiba kurekebisha haya
  7. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Lissu ana hoja: DPP haheshimu amri za mahakama

    Na mahakama yenyewe inajua hilo, na inajua kua haina chakumfanya.
  8. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Sh Shida sio wao, shida ni mkao wako tangu unaingia kwenye hiyo familia. Ulivyojiweka ndivyo utakavyofanywa Na jinsi ulivyotoka kwenye hicho kikao ndo imezidi kukuzamisha katika hiyo hali. Hicho kikao ilikua ni nafasi ya kubadili mambo, yakae vile unataka wewe.
  9. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Nguvu atakayotumia kujaribu kurejesha hela itagharimu vingi kuliko hela aliyopoteza. Mwezi uliopita mimi nimetapeliwa na rafki yangu niliemfahamu tangu 2008. Na nimefanya nae biashara miaka 3 mfululizo. Juzi hapa kanilamba mil 10 ++, akanitumia 1.5 tuuu, na bahati mbaya niliitegemea saana...
  10. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Mimi nahisi nina pepo la kudhulumiwa. Pole sana. Wakati mwingine kama mchakato wa kukomboa hela ni mgumu au ghali au utakuacha na hatia, ni vema kujifunza kuachilia ili uweze kusonga mbele.
  11. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Naitaka mbinu yako kabla sijajaribu zozote za huko juu.
  12. Brian Spilner

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

    Kama kila akienda anajeruhiwa, kwanini unamwacha anaendelea kwenda? Unafanya kwa maslahi ya mtoto au ya huyo x-mke? Kulenga maslahi ya mtoto hakikisha uwepo wako upo nae, kwakua mama mzazi hayupo tafuta mother figure iwepo nae.
Back
Top Bottom