Kesi imefika mwisho naturally, ndo wanatangaza kutaka iishe. Kwanini hawakutoa kauli hizi wakati jamhuri wanaomba maahirisho kadili watakavyo? Kesi imefika mwishoni ndo wanatoa matamko
Upande wa mashtaka walijiamulia watakavyo kuipeleka hii kesi, walidharau maelekezo ya mahakama kadili watakavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.