Angalieni rika la mtoa mada kwa tathmini hii..
Yeye alikua na huyo anaemuita shory, baadae akawa x, baadae "shory" akaolewa, amezaa watoto wanne, wote wapo umri wa shule..
Mtoa mada atakua wa rika gani? Rika hilo na uandishi huu vinaoana? Otherwise tukubali kusukuma muda tuu. Maana naona...
Hivi umetumia akili kweli au umeandika tu
Kwamba ndani ya JMT kuna federation, aisee...
Tena umeweka na details kabisa kwamba nchi mama ya Tanzania na nchi mtoto ya Zanzibar. Uko serious kabisa?
Wasabato wanakazana na amri ya nne ila amri nyingine zote, ikiwemo amri kuu ya upendo si kitu kwao.
Injili yao imejikita kwenye amri ya nne, zipo mpaka nyimbo zakusimanga makanisa mengine kisa amri ya nne.
Wakati injili ni habari njema za uzima wa milele alizoleta Yesu. Kama ni amri basi...
Sh
Shida sio wao, shida ni mkao wako tangu unaingia kwenye hiyo familia. Ulivyojiweka ndivyo utakavyofanywa
Na jinsi ulivyotoka kwenye hicho kikao ndo imezidi kukuzamisha katika hiyo hali. Hicho kikao ilikua ni nafasi ya kubadili mambo, yakae vile unataka wewe.
Nguvu atakayotumia kujaribu kurejesha hela itagharimu vingi kuliko hela aliyopoteza.
Mwezi uliopita mimi nimetapeliwa na rafki yangu niliemfahamu tangu 2008. Na nimefanya nae biashara miaka 3 mfululizo. Juzi hapa kanilamba mil 10 ++, akanitumia 1.5 tuuu, na bahati mbaya niliitegemea saana...
Mimi nahisi nina pepo la kudhulumiwa.
Pole sana. Wakati mwingine kama mchakato wa kukomboa hela ni mgumu au ghali au utakuacha na hatia, ni vema kujifunza kuachilia ili uweze kusonga mbele.
Kama kila akienda anajeruhiwa, kwanini unamwacha anaendelea kwenda? Unafanya kwa maslahi ya mtoto au ya huyo x-mke?
Kulenga maslahi ya mtoto hakikisha uwepo wako upo nae, kwakua mama mzazi hayupo tafuta mother figure iwepo nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.