Kuiba au udanganyifu katika majukumu mtu anapewa katika ajira imekuwa ni tatizo sugu. **** mambo yanayochangia kwa tabia hii, nayo yanaweza kusababishwa na malezi mabovu, tamaa, ujira mdogo.
Ni vizuri kuwa makini wakati wa kuajiri, kwa kuangalia nidhamu ya mtu anayetakiwa kuajiriwa na kumlipa...
1. Fanya hesabu za gharama za kupanga jirani+nauli+muda
2. Fanya hesabu za gharama za kupanga mbali+nauli+muda
3. Angalia pia mambo ya kijamii kama ni sehemu ya maamuzi ya kupanga mbali au jirani.
4. Chukua maamuzi sahihi uishi kwa furaha.
Shida kubwa ni maisha ya kuiga: Fulani kafanya hivi na mimi lazima nifanye kama yeye. Shida nyingine: Nilimchangia na yeye lazima anichangie hii inatengeneza ushindani usiyo na tija katika maisha.
Kwa ujumla michango ya harusi inaharibu mahusiano katika JAMII na ndoa changa kwani baada ya...
Shida kubwa imekuwa kwenye mtazamo wa elimu. Lengo la elimu ni kukuza maarifa, ujuzi na maadili kwa lengo la kujenga mtazamo ulio chanya katika maisha ya mwanadamu. Kwa muda mrefu elimu imekuwa imeegemea sana kwenye kujenga maarifa na kuangalia ufaulu wa masomo ya darasani na kuacha elimu ya...
Nakubaliana na mtoa maada. Biashara inahitaji ubunifu Ili biashara iweze kudumu na kuleta manufaa na uvumilivu katika kukabiliana na changamoto za kupata na kuto pata katika mzunguko wa biashara.
Hali ya umasikini hutengeneza msongo wa mawazo. Msongo wa mawazo hujionyesha katika matendo mbalimbali yanayofanana na hayo. Elimu ya maisha na elimu ya fedha ni muhimu kupunguza changamoto hizi.
Monetary savings by individuals is a crucial issue since it calls for every individual to develop personal discipline in creating savings on the earnings one gets through salaries, businesses, farming and so forth.
Developing personal discipline on savings requires a consistent and focused...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.