Habarini waungwana
Leo napenda japo kwa ufupi niwashangae wanaume wenzangu ambao wanakuwa na pupa kunako 6x6 na kusababisha mateso kwa dada zetu hivi kwanini mwanaume mzima unakuwa na haraka ya kutaka kuduu kama vile unaugwadu wa miaka.
Unakuwa na pupa baada ya sekunde kadhaa au dakika tayari...
Hakuna utaratinu maalumu uliopo wa kupata mchumba, wala mtu huwezi kusema labda leo nasafiri naenda mkoa fulan kutafuta mchumba hi kitu hutokea automatically na nakuambia hutaamini siku utakapo kutana na huyo mchumba unae mtaka!! cha msingi ni kumuomba mungu akusidie! Angalizo usije uwaka kimya...
Habar wana JF.
Mimi ni mgeni hapa i mean ndo najoin Jaman mapenzi ya kweli yapo baada ya kuteseka kwa muda mrefu nimepata pumziko la moyo wangu nampenda sana mpenzi wangu na naamini yeye ndio wangu wa Kufa na Kuzikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.