Yeyote anayeelewa anisaidie katika hili

Yeyote anayeelewa anisaidie katika hili

Sasa wewe kwa akili zako zoooote, unasema ni mdada wa RWANDA, while jwenye Email kaandika DAKAR SENEGAL...

Hivi we ni kichwa maji ama,,,

Au hujui RWANDA ni wapi na SENEGAL ni wapi
 
Mwambie na wewe ni mwizi mwenzao, kwahyo akukaushie
 
utapeli mtupu tegemea kushauirwa kudeposit kiasi cha Fulani ya pesa kwanza,achana nayo au wanataka kufahamu bank account yako ila amua mwenyewe...
 
Back
Top Bottom