Recent content by brekisifungi

  1. B

    Chanzo cha kifo cha billionea Erasto Msuya chabainika

    Hahaaa poleni sanaaaa . Wote mnajulikana. Mmehonga ml 5 gazeti la nipashe kuandika usenge ili kijificha ila hamuwezi kukimbia mkono wa mungu. Kaburu ailipewa pesa na sharifu siku erasto anapigwa risasi yy yuko airpot kupeleka pesa magazeti ni . Nani asiyejua? Acheni kumzihaki mungu eti asalam...
  2. B

    Chanzo cha kifo cha billionea Erasto Msuya chabainika

    Halafu nani aliyetoa maelezo ya kiasi alichokua nacho? Kuna kamanda yeyote wa police aliyetaja kua familia imetoa maelezo kua marehem alikua na sh ngapi? 0
  3. B

    Chanzo cha kifo cha billionea Erasto Msuya chabainika

    Sabayi wewe utakua ni ndugu yake chusa na sharifu. M naletewa ndoo ya bangi camp kwenu na denisi ndio maana vichwa vyenu akili zimeruka.
  4. B

    Jambazi Sugu "BANJOO" larudi uraiani

    Duh kumbe ndio maana majambazi wanaua watu matajiri wanakaa vikao vya kuchanga pesa ili waachiwe maana wanajua siri zao zitafichuka. Sasa hii mitandao itaisha kweli au ndio kila siku watu kuuliwa kikatili.
  5. B

    Kuikana CCM ni sawa na kumkana mama yako mzazi, na laana lazima ikushukie tu

    Kweli wewe ni -------- wa mwisho. Kama ccm ni mama basi ni mama anayetoa mimba anakaribia kung'ooka kizazi. Usirudie kuandika mada za kipumbavu humu. Halafu usimtaje mungu kwenye upuuzi wako
  6. B

    Mikutano ya CHADEMA yadoda Iramba

    Hata wewe ni mmoja wa mafanikio coz ulikua miongoni mwao hadi ukawahesabu
  7. B

    Msigwa acha kukurupuka, Leopard Tours ya Arusha imepata vitalu kihalali

    Msigwa uko juu, na wembe ni huo huo. Leopard ni ya wale waleeee
  8. B

    Ungefanya nini ukiwa Rais wa Tanzania kwa mwezi mmoja?

    Mapunda nakuunga mkono. Jeshi la polisi ni uozo. Mtu anaua kesho unapishana naye barabarani na anapanga tena mauaji mengine inabaki story tu ya idadi ya mauaji aliyo fanya. Hakuna hukumu hadi badae anakua polisi jamii . Kwanza ningetangaza hukumu ya kifo kwa mtu akiua na hukumu ya kifo kwa...
Back
Top Bottom