Ningekuwa mimi ningeenda USA kuhuzulia msiba wa mwigizaji Michael Duncan pamoja na kupiga picha na wasanii wakubwa watakaohuzulia msiba huo.
Wewe mwehu kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake. hayo ni maoni yangu hata kama hayakufurahishi lakini ni maoni yangu sio ya kwako mpuuzi wewe.Hivi ww kwenye mjadala kama huu wa kuelimisha kweli ww unachukua nafasi kuandika upumbavu au laana inakutafuna au ushetani wako,hali ya nchi inatisha wewe unakuja kuandika ujinga hapa
Ningemwagiza mara moja msajili wa vyama vya siasa bila kupoteza muda akifutilie mbali cha CDM.
Ningemnyonga padre Wilbrod Peter Slaa, tena pale Mnazimoja na ningefanya siku hiyo iwe ya mapumziko ili watu washuhudie kitendo hiki kwenye TV wakiwa majumbani kwao.
Hivi ww kwenye mjadala kama huu wa kuelimisha kweli ww unachukua nafasi kuandika upumbavu au laana inakutafuna au ushetani wako,hali ya nchi inatisha wewe unakuja kuandika ujinga hapa
Ningetembelea machimbo ya madini yote na kuondoka na sample za kilo kilo kutafuta wateja.
Kwa siku hizo 30, ningekua bado nawaza niongozeje?