Recent content by Bree77

  1. Bree77

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu e-Filling ya TRA

    Sanaaaa
  2. Bree77

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu e-Filling ya TRA

    Vyote kwa ujumla, yani kuna maswali tuu nataka kuuliza
  3. Bree77

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu e-Filling ya TRA

    Poleni kwa majukumu ya hapa na pale, nimeona tuu shida yangu niiweke hapa. Anyway, Niko na shida kuhusu mambo ya system ya TRA (E-filling). Currently hapa ofisini kwetu mtu aliyekua anahusika na hayo mambo hayupo na majukumu hayo nimeachiwa mimi coz ni kama tulikua tunaingiliana kwenye baadhi...
  4. Bree77

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Ila wewe, haya nimekuja
  5. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jimama linanitaka kwa nguvu

    Usimkubalie atakufungia kama diwani yule [emoji23]
  6. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wanaoweza kumla Mwanamke wako bure kabisa

    It depends na mwanaume anajiwekaje kwa mke wake, sasa kama lipo lipo tuu lazima wengine kat ya hao waenjoy
  7. Bree77

    JamiiForums Tanzania Waliowahi kutumia serum ya wix

    Mimi pia niliwah tumia na mafuta yake lakin nilipata rashes balaaa, lakin kuna mtu mwingine alitumia ngozi ikaglow vzur sana , so it depends , Kama ulikua mtu wa kutumia mafuta makali pia haiwez kukufaa
  8. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna pisi-kali na vipisi-vikali

    Kila mwanamke ana uzuri wake depending na mtu anayevutiwa nae akimuona, anaweza akawa hana sifa hizo zote lakin still Babe wake akamuona n pisi kali kwake kwa vigezo vyake, and hakuna mwanamke/mwanaume ambae amekamilika kote kote. Unaweza kuta dada mzur ana shape, rangi, umbo lakini mdomo...
  9. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanene wakideka wanaonekana kama makubwa jinga

    Sawaa tumesikiaa
  10. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi kama nimeingizwa chaka

    Hapo usiumize kichwa sana, kwakua Mungu amekupangia hivo basi ulee mtoto kama wako tuu hata kama hatokuwa wako, huwezi jua ndo ikawa baraka yako
  11. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wabongo wanadhani kutafuta mpenzi mtandaoni ni umalaya?

    Hiki nilitaka kusema, nashukuru umenisemea na mm, n kwamba n ss wenyewe tunaoharibu hiyo mitandao
  12. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa JamiiForums ni watemi sana

    Nitafanya hivo mkuu [emoji23]
  13. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa JamiiForums ni watemi sana

    Fohadi njoo unipe sifa zangu [emoji23]
  14. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ninavotamani siku zirudi nyuma ili niyafute haya...

    Hahaha usinambieeee [emoji23]
  15. Bree77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ninavotamani siku zirudi nyuma ili niyafute haya...

    Dear gambe Fohadi Sijaona comment yako after kusoma story [emoji23] #ninisasa [emoji23]
Back
Top Bottom