Hivi kuna yule Mtiga Na Paul (practical) pale Mwenge Mapambano bado wapo maana kuna madogo walikuwa wanawakubali sana miaka hyo 2011-2015 hadi nkampeleka mtoto wa sister bado wapo kweli?
Naomba kujua
1. Vibwengo ni vitu gani
2. Unatofautisha vipi majini na vibwengo
3. Utendaji kazi wa vibwengo au madhara yake yakoje
4. Je waweza vipi kujizuia na vibwengo
5. Kama unga wa mifupa ya simba ikichanganywa na Dawa zingine waweza zuia vibwengo
6. Maelezo juu ya tofauti kati...
Naomba kujua tofauti / ufafanuzi wa uganga ufuatao
1. Uganga wa kitabu/dini
2. Uganga wa mitishamba
3. Uganga wa majini
4. Uganga wa mizimu
5. Uganga wa falme ( kundi hili hudai wao sio majini wala mizimu wala wachawi, hudai ni falme kutoka kwa Mungu kwenye kundi la manabii)
6. Uganga...
Kwa mfano ikatokea ukamfanyia timing kabla hajatuma kwa mhusika
Mfano alikuwa anapeleka mavuno kila baada ya mwezi hivi
Anaweza tapishwa na kutoa mali?
Naomba kujua yafuatayo
1. Hivi kuna jini la chuma ulete?
2. Kama lipo yawezekana kumkamata Na kumtapisha Na kurudisha tena kiasi cha pesa alichochukua Na kikawa cha matumizi ya kawaida kwa binadamu?
3. Hivi yawezekana mtu kupambana Na ukoo wa majini mfano yako 100
Vifaa vya gharama gani...
Kuna rafiki yangu alienda kwa mganga ili kusafisha nyota , kutoa mikosi Na nuksi akapewa dawa ya kuoga siku 5,
Akaambiwa pia siku 1 kati ya hizo 5 achukue noti ya elfu 5/10 Tshs. Aichange iwe 500 za coin Na azigawe kwa watoto mbali mbali baada ya kunuia.
Kutokana Na hayo naomba kujua yafuatayo...
1. Kwa watu wenye matatizo ya vifungo vya nyota watibabu wengi hupendelea kupasua nazi ikiwa Na maana vifungo vimeachia, je kama nazi isipofunguka ina maaana kazi haijafanikiwa au ?
2. Matumizi ya kamba ya kuokota ( usiemjua kaifunga nani) ni yapi?
3. Tofauti ya nazi mdondo Na zile za kipemba...
1. Kwanini wataalamu au waalimu huwa wanaongea matatizo ya mgonjwa kwa lugha ngumu au lugha ya jumla bila kuainisha vyote step kwa step bila kuwa anaulizwa ulizwa maswali?
2. Je yawezekana waalimu wakaacha kiti wao arogwe bila wao kuzuia?
3. Je mganga anapokuwa kapigwa vitu au karogwa yuko hoi...
Naomba kujua yafuatayo
1. Mushtala/Mushtara ni kitu gani au maana yake kwenye falaq/ramli au uganga
2. Mtu mwenye mushtala/mushtara anakuwa Na matatizo gani au faida gani kwenye maisha ya kawaida
3. Kama ni tatizo tiba yake ni nini
4. Je ni kweli mushtala ni ngumu kuiona kwa majini wenye...
Kuhusu nyota
1. Ipi njia sahihi ya kujua nyota ya mtu maana kuna njia zipo mitandaoni Na kila ukiifuata moja unapata jibu tofauti
Waweza jikuta mtu mmoja una nyota sita
2. Je kuna nyota za kupanda Na kushuka?
3. Je kuna njia ya kuimarisha nyota isiwe inashuka
4. Wanaposema kinga ya mwili...
1. Kwa hyo Ina maana kuna matatizo mengine bila kuyafungua kwanza hayaonekani kwa Falaq kawaida
2. Je haitatokea ukafanya kafara ya kuyafungua Na kisionekane kitu na bado mtu shida yake ikaendelea
3. Lakini kuna wataalamu wanaweza wasione tatizo lolote kwa falaq za kawaida
Je uwezo wao...
Habari mtu mzito
Naomba kujua yafuatayo
1. Pesa za majini ni nini/kitu gani?
2. Baada ya muda gani dawa hyo kufanyika pesa huanza kuonekana kwa wingi?
3. Je kwenye masharti yote ni makafara ya damu?
4. Hakuna zenye masharti nafuu?
5. Hyo kafara ikishatolewa mara moja kuna haja ya kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.