Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

Status
Not open for further replies.
Mtu Mzito unajua me cjakuelewa bado em nipe tofauti kati ya uchawi na uganga wa jadi??
Mganga

Anatibu

Shughuli zake zipo wazi na zenye kuonekana

Ana vibali na kutambulika kisheria

Anapewa ujira kwa kazi yake

Dawa zake anapotafuta hajifichi wala kujikinga asionekane

Anapenda kujulikana ili atibu watu


Mchawi

Anaharibu mambo na kuwangia watu

Shughuli zake ni za kificho

Hapendi kujulikana iwapo anatenda jambo hilo

Hatambuliki kisheria

Hapewi ujira sababu kazi zake hazipo wazi

Anaweza kuwa na uwezo wa kupaa au hata kuingia mahali bila kuonekana

Ila pia wapo waganga wachawi, kujua zaidi nilishaeleza humu humu.
 
Mkuu
Mimi ni miongoni mwa wa tu waliofanikiwa sana kimaisha kupitia nguvu za giza na anaejua hili ni mimi mwenyewe tu hata mke wangu kanikuta nikiwa na mali zangu hivyo hajui chochote kama nafanya ndumba.
Sasa kuna siku tuliamka asubuhi tukamkuta mchawi ameanguka kizingitini kwetu na najua imetokana na mazindiko mazito sana niliyoweka.
Sasa mke wangu amekuwa ananihoji sana kwamba itakuwa natumia uganga, je nimweleze ukweli au niendelee kujifanya sijui chochote?
Usithubutu kueleza maana kwake linaweza kuwa jambo jema au baya, tazama kijana.....kuna mambo ni siri za ulimwengu hazitolewi hovyo hovyo inaweza kukugharimu.
 
Mchawi kuanguka haswa inatokana na nini?
Kupita kwenye ulinzi mkali

Kupita kwenye anga la wengine

Kujaribiwa na wachawi wenzake

Kuishiwa mafuta ya kutumia katika usafiri wake

Anaemfuata kuwa mtu mzito

Kushindwa kumudu dhoruba za anga nk.
61e843e7960a072af86bc04f684f6797.jpg
 
Mkuu Mtu mzito
Je, magari huwa yanarogwa na kurogeka?
Niweke neno
Uchawi unafanywa kwenye magari, kwenye majumba, kwenye nyumba za ibada, popote penye riziki, kwenye mapenzi nk nk. Ukitaka kujua habari za uchawi katika magari uliza kwa matajiri wenye magari mengi ya usafirishaji abiria au mizigo utapata habari yake na uliza pia kwa nini kunafanyika visomo au makafara kunapoingia chombo kipya.
Kwa majibu mubashara atatufafanulia Mtu mzito kulingana na uzoefu wake wa kazi katika eneo hilo.
 
Niweke neno
Uchawi unafanywa kwenye magari, kwenye majumba, kwenye nyumba za ibada, popote penye riziki, kwenye mapenzi nk nk. Ukitaka kujua habari za uchawi katika magari uliza kwa matajiri wenye magari mengi ya usafirishaji abiria au mizigo utapata habari yake na uliza pia kwa nini kunafanyika visomo au makafara kunapoingia chombo kipya.
Kwa majibu mubashara atatufafanulia Mtu mzito kulingana na uzoefu wake wa kazi katika eneo hilo.
Umekwenda vizuri pasi na shaka.
 
Nipo mkuu kwa karibu sana na napendezwa sana na upeo mkubwa alionao Mtu mzito, katika shughuli zetu......kila nionapo huu uzi najisikia nipo nyumbani.
Nashukuru mkuu na popote utakapoona panahitaji nyongeza, ruksa mkuu.
 
Mtu mzito Ahsante sana ndugu Ile dawa ya jipu uliyoniambia leo nimeenda kazini kwa raha kabisa, nikukumbushe tu ukiwa dar usisite kunitafuta
Ni jambo la faraja sana iwapo hilo tatizo limekwisha na nakutakia kila la kheri, naam nikija Dar nitakujuza.
 
Naam, ukiwa na majini na hufuati matakwa yao wanaweza kukudhuru ukahangaika na ulimwengu usijue pa kushika, wanaweza kukupa maradhi ya kimwili, kiakili au hata nuksi za maisha na ukaharibikiwa.

Namna za kufanya ili kuepukana na hayo zipo na zikitendeka mambo huwa salama salmin.
Nenda ukaombewe.
 
Naomba kujua yafuatayo

1. Hivi kuna jini la chuma ulete?

2. Kama lipo yawezekana kumkamata Na kumtapisha Na kurudisha tena kiasi cha pesa alichochukua Na kikawa cha matumizi ya kawaida kwa binadamu?

3. Hivi yawezekana mtu kupambana Na ukoo wa majini mfano yako 100
Vifaa vya gharama gani vyaweza kutumika

4. Hivi kuna uchawi wa kivuli cha mauti?
Matibabu yake je ?
 
Hello mtu mzito, nimefuatilia Sana uzi wako na nimejifunza mengi Sana. Ombi langu ni hili, nataka dawa ya biashara katika duka langu, maana sehemu nipo kuna maduka kama 100 hivi, yani hata biashara imekuwa ngumu Sana, maana naskia wenzangu wanaenda iringa na kigoma huko nadhani hata washaninyea, maana loh c kwa mauzo haya. tafadhali naomba msaada maana kuna waganga nimeenda nadhani ni matapeli wameishia kula pesa yangu na hakuna kitu. Naomba no zako
 
Hello mtu mzito, nimefuatilia Sana uzi wako na nimejifunza mengi Sana. Ombi langu ni hili, nataka dawa ya biashara katika duka langu, maana sehemu nipo kuna maduka kama 100 hivi, yani hata biashara imekuwa ngumu Sana, maana naskia wenzangu wanaenda iringa na kigoma huko nadhani hata washaninyea, maana loh c kwa mauzo haya. tafadhali naomba msaada maana kuna waganga nimeenda nadhani ni matapeli wameishia kula pesa yangu na hakuna kitu. Naomba no zako
Mkuu usidanganywe na Mtu kuhusu hilo ombi lako.
Hakuna dawa ya biashara hata sehemu moja. Mafanikio ktk biashara ni Mgao utokao kww MUNGU MKUU Unaoitwa Riziki.
Hao unao waomba Dawa asilimia 99% ni masikini wa hali ya chini sana.

Km hio dawa ni kweli kwanini wasitajirike wao kwa kuvutia wateja km wewe wasiende kwa mganga mwingine waende kwake tu?

Usipoteze muda wako.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom