In short mtoto alishageuka toka mda mrefu na njia kila kitu kiko tayari na mama n mzima tu anafanya shughuli zake ndogo ndogo anazoziweza bila shaka .but wakat mwingne kiuno kina kaza kwa mda mfupi and then kina achia pia kuna wakati mwingne napata hofu zaidi anaharisha kwa vipindi tofauti...
Wanajamii wenzangu poleni na majukumu ya maendeleo
Mke wangu ni mjamzito wa wiki 42 n sawa na miezi 10 na wiki 2 lakini hanatatizo la haina lolote kwa kipindi xhochote na nmecheki ultrasound takribani Mara mbili na ya mwisho na Tarehe 10 ya mwezi huu na kuna tatizo lolote kwa mtoto na njia iko...
M naomba kuuliza kwa wake waliokua wanifanyia usaili kwa wilaya za Dar es salaam wameshapangiwa vikosi vya kwenda. Au kifupi mchakato umeishia wapi??????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.