Recent content by Brasy

  1. B

    INAUZWA Viwanja vinauzwa Majohe Dsm

    Havina hati,hati unapewa s/ mitaa ya mauziano eneo kwa dr.macho kabla hujafika kwa walioba.
  2. B

    Mawakala Msaada wa M-pesa T-pesa A-money

    Nitafute mkuu bei poa in box.
  3. B

    INAUZWA Viwanja vinauzwa Majohe Dsm

    VIWANJA VINAUZWA,mita 20 kwa mita 20 (HATUA ZA MTU MZIMA 25 KWA 25) vipo MAJOHE -DAR-ES-SALAAM vipo barabarani, Viwanja viwili vya mbele bei ni m.15,viwanja vya nyuma m.14 barabara imeachwa kwa viwanja vya nyuma pia umeme haupo mbali mita 40. WAHI SASA UPATE KIWANJA LEO KWANI MAISHA NI NYUMBA...
  4. B

    LINE ZINAUZWA.

    Mkuu hujaona watu wanauliza hata tv ya chogo anaye uza ndo mambo ya mitandao. TG 400,000 vd200,000 na airtel 150,000 jml750,000/-
  5. B

    LINE ZINAUZWA.

    LINE ZA UWAKALA TIGO PESA,M-PESA NA AIRTELMONEY ZINAUZWA NI inbox,ni kwa walio dar tu, ilikujua nawakala wako mkuu yupo wap.
  6. B

    Mashirika ya ndege kuathirika na katazo la kutosafiri nje ya nchi

    Nampongeza RAIS MAKUFULI kwa kuliona hilo,pia angalia na wale wanao tumia magari ya serikali kwenda kufanya starehe,kwendanayo mashambani nk.
  7. B

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    HAPA KAZI TU,wale wanao subili kubebwa kipindi chao kimekwisha,haijalishi ulitembea nchi zima na MH kwenye kampeni.WATANZANI tunahitaji watendaji kazi ambao siompaka wasukumwe kufanyakazi za maendeleo kwaTaifa letu.
  8. B

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr slaa
  9. B

    TANZIA: Mama Mzazi wa mbunge Zitto Kabwe, Shida Salum afariki Dunia

    MUNGU ametoa na ametwaa jina la BWANA na lihimidiwe,pole sana Zito.
  10. B

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Serikali tatu ndio chaguo la wananchi na sio vinginevyo.
  11. B

    Makonda: Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania wala Mwenyekiti wa CCM

    Wamejichanganya sana hawa vijana,kama kinana na nape walikwenda kusikiliza kelo za wananchi kwanini mawaziri mzingo wapo kazin?acheni kuwadanganya watanzania.
  12. B

    Imebainika CHADEMA haiwezi kufa kama vyama vingine vya upinzani

    Chama sasa kipo imara kuliko walivyokuwa wakifili,wamebaki midomo wazi huku watu lukuki wakihama,CDM nikimbilio la watanzania wapenda mabadiliko.
  13. B

    PICHA: Mkutano wa CHADEMA Mbeya

    Tupo pamoja kamanda mwanzo mwisho tujuze ktk kila jambo.:A S thumbs_up:
  14. B

    Nachukua nafasi hii kuwapongeza wanawake wa Tanzania kwa kuipa kisogo CHADEMA, chama cha kizandiki

    Huku iliko leta post umekosea huku wote wanawake ni wajanja tafuta sehemu nyingene au ukawaeleze pale labour walipo lala kitandani watu watano huku wengine wakigalagala chini uone kama hujatoka nduki.Acha kuwandanganya wanawake wezio wanaoijua tabu.
Back
Top Bottom