In
Kumbe JF kumejaa watoto the wa baba paroko hivi aisee? Daah! Safi sana. Nimewapenda sana. Nawapeni babu mwenyewe huyo hapo alikuwa bado nguvu zipo zaid
Ni kweli. Kiarabu ni ya 5 ulimwenguni na ya 1 Africa. Ila ukiongelea lugha za African natives ndio Kiswahili kinashika namba 1. Nadhani unajua kuwa African natives sio waarabu. Waarabu walianza kuingia Africa karne ya 4 nakuendelea.
Hahhahaaaa
Magamba yamejifichaaaaaa. Eti walijidai wananyomi siku Pombe anaenda kuchukua fomu.Sasa ukilinganisha nyomi hii ya Eddo na ile ya Pombe si ni sawa na mnyoo kuufananisha na mamba????
Mimi nadhani sasa UKAWA tumezidisha misifa jamaniiii khaaaaaaaaa. Yaani umati woootee huo mmmmh. Muwaonee huruma wa mtaa wa Lumumba jamani. Wanaweza kufa kwa BP wasiyaone mabadiliko tuliyokuwa tunawadai. Hahahahahahahahahaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kweli ni saa ya ukombozi
Nilisema kuwa mimi nitampa kura yangu Lowasa. Na naendelea kusema hivyo maana kwangu kura yangu sio siri. Wew mwenye siri na kura yako endelea kuifanya siri. Na pia nilisema japo kwa ufupi kwa nini nitampa Lowasa kama Lowasa.
Naomba kusema kuwa kutokana na ugeugeu wa vyama na wanachama, kila...
Safi saaanaaaaaaaaaaaaaaa................. Mungu mkubwa aiseee, moyo ulikuwa unaniuma sana kumpoteza jembe kama Dr Slaa. Tunakushukuru sana Dr wa Ukweli kwa kusikia kilio cha watz. Mungu azidi kukulinda na kukupa afya njema daima. Tunakupenda sana na hakika tulikumiss sana, Karibu ulingoni Mzee...
Ndo Ndo Ndo, ndoo hujaa mkuu. Pia haba na haba hujaza kibaba.
Kwa hiyo hao watakaopiga kura kumchagua mbunge wa UKAWA hujui pia ndio watakaompigia rais wa UKAWA pia,?
Kuna shida ya maji kwa kuwa ule mradi wa maji ya ziwa viktoria haijafika Shinyanga au kwa kuwa serikali imeshindwa kuendeleza na kusimamia usambazaji wake kama alivyokusudia Lowasa na serikali ya kipindi kile?
Inawezekana mkuu siwezi kukubishia. Lakini nadhani labda wew umetoka Peripheral kuliko nilipotokea mimi brand udom huko vijiji vya Lumuma Kilosa ambako wananchi wenzangu wanahamu kubwa sana ya madiliko na chadema imeshika kasi sana tu.
Nikiwa njiani kuelekea mjini Kilosa au Mikumi nakutana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.