Peleka ujinga wako huko mzee. Tena wanapaswa kulima haswaaaa ili wajifunze stadi za maisha kwani 90% ya maisha ya mwanafunzi yapo mkononi mwa walimu. Hao ni kama wazazi wake baba na mama.
Umeandika makala ndefu kwa kiasi fulani ni nzuri lakini kwa upande mwingine ina kawivu ndani yake. Raha ya ngoma ingia ucheze ndipo usimulie watu radha yake
Upo sahihi kiongozi, kwa Tanzania acha tu wanasiasa watuchezee mpaka pale tutakapokuwa na akili. Maana kwa sasa mambo yapo wazi kabisa, huioni ile tofauti ya msomi na mlamba nyau. Tena kheri kabisa walamba nyau wasomi ndio wamekua hovyo hovyo walamba nyayo za watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.