Recent content by braity

  1. B

    KERO Serikali imeshindwa kudhibiti adhabu za Viboko shuleni?

    Kama wazazi wenyewe ndio huyu mwandishi kwanini walimu msiachane na kuchapa hayo matoto yao yakajifie mbele na wazazi wao ?
  2. B

    Je Diploma in secondary education itafutwa?

    Basi walimu wanaosoma physics wanajionaga mataita. Bro huku kazini ni mambwiga tu
  3. B

    Wenye ndoto ya Kusoma Abroad 2024 tukutane hapa kuitimiza

    Mkuu matapeli pia ni wengi sana siku hizi. Je ya kweli haya?
  4. B

    Wenye ndoto ya Kusoma Abroad 2024 tukutane hapa kuitimiza

    Moja kati ya nyuzi nzuri sana sana hii ni moja wapo. Kongole sana ndugu tutakuja inbobo tuyajenge wazo zuri sana hili
  5. B

    DOKEZO Wanafunzi Wilaya ya Mbozi (Songwe) wanalimishwa kwenye mashamba binafsi ya Walimu

    Peleka ujinga wako huko mzee. Tena wanapaswa kulima haswaaaa ili wajifunze stadi za maisha kwani 90% ya maisha ya mwanafunzi yapo mkononi mwa walimu. Hao ni kama wazazi wake baba na mama.
  6. B

    Sitaki kuandika sana lakini ninyi wadau mtasema

    Nyie ndio mnaodekeza watoto yakikuwa yanakuwa mashoga toto hata kazi haliwezi. Kwani shida ipo wapi?
  7. B

    Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

    Mwanamke wa hivyo hata akirudi tena atakusumbua mno na mifano ni mingi sana. Piga chini utaumia kwa muda lkn utainuka na kuangaza
  8. B

    Kisasi kilichozaa penzi zito

    Daah una utoto mwingi we jamaa. Hovyo kabisa najuta kupoteza muda wangu kusoma ujinga
  9. B

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Umeandika makala ndefu kwa kiasi fulani ni nzuri lakini kwa upande mwingine ina kawivu ndani yake. Raha ya ngoma ingia ucheze ndipo usimulie watu radha yake
  10. B

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Tunaomba basi tusaidie na mambo yanayohitajika ili ukidhi kuchaguliwa
  11. B

    Ni wife material kweli kweli lakini kuna tatizo hili hapa

    Hii tabia ya kusingizia watu kwanini hamkomin jamani?
  12. B

    Aliyewaambia hatupendi matango makubwa kawadanganya

    Hahahaha [emoji1787] umetisha mkuu
  13. B

    Msaada wenye uzoefu na waliosoma Open university

    Sijawahi kuifagilia Elimu ya Open ngoja wataalam waje wakupe ushauri
  14. B

    Wanasiasa wanavuruga mfumo wa elimu Tanzania

    Upo sahihi kiongozi, kwa Tanzania acha tu wanasiasa watuchezee mpaka pale tutakapokuwa na akili. Maana kwa sasa mambo yapo wazi kabisa, huioni ile tofauti ya msomi na mlamba nyau. Tena kheri kabisa walamba nyau wasomi ndio wamekua hovyo hovyo walamba nyayo za watu
Back
Top Bottom