Recent content by braity

  1. B

    JamiiForums Tanzania Salma Kikwete: Jimbo langu la Mchinga halina Stendi hata moja

    Wanasiasa bhana daaah
  2. B

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Nchemba, hazungumzi na watanzania, anazungumza na CHADEMA

    Speech za waziri mkuu hazivutii kabisa ni kama vile tunaelekea kwenye uchaguzi. Speech zimejaa porojo mtupu
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini hii propaganda ya hawa Wakatoliki wa "kuvundika" imefeli pakubwa sana

    Ukiweka pembeni utahira wako wewe kama wewe huoni kabisa taifa lipo kwenye muelekeo mbaya?
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini hii propaganda ya hawa Wakatoliki wa "kuvundika" imefeli pakubwa sana

    Alijisemea mzee wetu Mwandambo yaan Taifa halieleweki linakwenda wapi tupo kama vichekesho tu. Hivi hili taifa linawasomi kweli wanaofikiri na kuwaza kimantiki? Mbona kama darasa la saba na hao wanaojiita wasomi ni kitu kimoja tu
  5. B

    JamiiForums Tanzania Watu wanatumia Jina la CHADEMA kuendesha donation za kitapeli wanaweka account zao binafsi ili waishi na familia zao siyo chama huu ni wizi

    Yaani kwa mfano wewe kinachokuuma ni nini babu? Kama huchangi lala mbele simpo tu. Lissu ni jabali lile na anapendwa huwezi kushindana na ukweli
  6. B

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Nifanyeje kupata mkopo wa HESLB ili nianze kusoma diploma ya afya mwaka huu 2025 ?

    Jamani nauliza tu naomba nijibiwe vyuo vya kati kwa wanafunzi wanaosoma Diploma pharmacy wameanza kusoma? Nimefanya maombi tangu August lakini sifahamu majibu yalitoka au laaah
  7. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuapishwa na Rais, aapa kumkamata Mange Kimambi. Anasema kapewa maelekezo!

    Jamaa kanishangaza sana na kaniacha na maswali mengi sana sana. Hivi kweli kipaumbele chake kinakuwa kumkamata Mange? Kaikosea sana nafasi ya Mwanasheriq mkuu wa serikali daaah kaz ipo
  8. B

    JamiiForums Tanzania Situation Overview, kilichojili leo kwenye Kesi ya Lissu

    Naumizwa sana kuona Lissu anateseka hivi hata kama sikua upande wake. Kwanini asiachiwe huru huyu mtu? Kwanini taifa moja tufikie ngazi ya uadui kiasi hich jmn looooh
  9. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Amenikera sana POLEPOLE! Alijiaminisha na nini kuwa hapa nchini! Umesaliti mapambano! Sterling hafi, anadumu movie iendelee. Sasa Umekufa!

    Hapana ndugu. Hata speech zake ukizisikia miaka 4 nyuma laiti angejua miaka 5 mbele yake yangetokea haya asingekuwa anaongea vile.
  10. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Amenikera sana POLEPOLE! Alijiaminisha na nini kuwa hapa nchini! Umesaliti mapambano! Sterling hafi, anadumu movie iendelee. Sasa Umekufa!

    What goes around will come back around. Kibinadam km kweli polepole ndio ametekwa na zile damu hili linasonesha sana sana lkn uki trace back miaka 5 nyuma tangu sasa Mr polepole alikera sana watu. Mungu wetu wa mbinguni amtetee kadiri ya inavyompendeza.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa Open University wanashida gani? Au wanataka mpaka tuwalambe miguu

    Umenitisha sana kuanza masomo yangu Open University. Kumbe nao ni wa hovyo hivi?
  12. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Media kupiga kelele raia kugomea maandamano, Serikali na CCM wamepaniki kuwa safari hii Watanzania wapo serious?

    Huu uchaguzi wa mwaka huu hauna maana kabisa. Sijui ni kwanini viongozi wameamua kuweka pamba masikioni na kufanya bola liende. Binafsi sitokuja kupiga kura
  13. B

    JamiiForums Tanzania Maziwa ya mama kukata ghafla

    Hii ni ipi formula milk? Samahani
Back
Top Bottom