Alijisemea mzee wetu Mwandambo yaan Taifa halieleweki linakwenda wapi tupo kama vichekesho tu. Hivi hili taifa linawasomi kweli wanaofikiri na kuwaza kimantiki? Mbona kama darasa la saba na hao wanaojiita wasomi ni kitu kimoja tu
Jamani nauliza tu naomba nijibiwe vyuo vya kati kwa wanafunzi wanaosoma Diploma pharmacy wameanza kusoma? Nimefanya maombi tangu August lakini sifahamu majibu yalitoka au laaah
Jamaa kanishangaza sana na kaniacha na maswali mengi sana sana. Hivi kweli kipaumbele chake kinakuwa kumkamata Mange? Kaikosea sana nafasi ya Mwanasheriq mkuu wa serikali daaah kaz ipo
Naumizwa sana kuona Lissu anateseka hivi hata kama sikua upande wake. Kwanini asiachiwe huru huyu mtu? Kwanini taifa moja tufikie ngazi ya uadui kiasi hich jmn looooh
What goes around will come back around. Kibinadam km kweli polepole ndio ametekwa na zile damu hili linasonesha sana sana lkn uki trace back miaka 5 nyuma tangu sasa Mr polepole alikera sana watu. Mungu wetu wa mbinguni amtetee kadiri ya inavyompendeza.
Huu uchaguzi wa mwaka huu hauna maana kabisa. Sijui ni kwanini viongozi wameamua kuweka pamba masikioni na kufanya bola liende. Binafsi sitokuja kupiga kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.