Recent content by braity

  1. B

    JamiiForums Tanzania Course gani za masters zina maslahi kwa mtu aliyesoma BSc. Ed

    Omba roho wa Mungu akuongoze
  2. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri Course ya Kusoma Masters. Kwa Mtumishi idara ya msingi.

    Kasome mzee uthibiti ubora wa taaluma effectively
  3. B

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Uzi makini sana. Ni Suala la muda tu
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    Huyo ashaliwa tayari mwezi mmoja haupiti labda mwenye gari awe na roho wa Mungu haswaaa
  5. B

    JamiiForums Tanzania Masters Degree

    Masters
  6. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta chuo Cha kufundisha part time tutorial assistant?

    Tutorial ni mtu mwenye Bachelor. Bila shaka ana shahada huyu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Daah yani mimi sielewi kwanini tunaendesha taifa kiujanja ujanja na sio kufuata Katiba?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Salma Kikwete: Jimbo langu la Mchinga halina Stendi hata moja

    Wanasiasa bhana daaah
  9. B

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Nchemba, hazungumzi na watanzania, anazungumza na CHADEMA

    Speech za waziri mkuu hazivutii kabisa ni kama vile tunaelekea kwenye uchaguzi. Speech zimejaa porojo mtupu
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini hii propaganda ya hawa Wakatoliki wa "kuvundika" imefeli pakubwa sana

    Ukiweka pembeni utahira wako wewe kama wewe huoni kabisa taifa lipo kwenye muelekeo mbaya?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini hii propaganda ya hawa Wakatoliki wa "kuvundika" imefeli pakubwa sana

    Alijisemea mzee wetu Mwandambo yaan Taifa halieleweki linakwenda wapi tupo kama vichekesho tu. Hivi hili taifa linawasomi kweli wanaofikiri na kuwaza kimantiki? Mbona kama darasa la saba na hao wanaojiita wasomi ni kitu kimoja tu
  12. B

    JamiiForums Tanzania Watu wanatumia Jina la CHADEMA kuendesha donation za kitapeli wanaweka account zao binafsi ili waishi na familia zao siyo chama huu ni wizi

    Yaani kwa mfano wewe kinachokuuma ni nini babu? Kama huchangi lala mbele simpo tu. Lissu ni jabali lile na anapendwa huwezi kushindana na ukweli
  13. B

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Nifanyeje kupata mkopo wa HESLB ili nianze kusoma diploma ya afya mwaka huu 2025 ?

    Jamani nauliza tu naomba nijibiwe vyuo vya kati kwa wanafunzi wanaosoma Diploma pharmacy wameanza kusoma? Nimefanya maombi tangu August lakini sifahamu majibu yalitoka au laaah
Back
Top Bottom