Yoga, (sijui ni dada au kaka), huenda ukawa umebeba nuru ya watanzania wenye maumivu juu ya mwelekeo wa nchi.
Unaposita kusema, unafifisha nuru hiyo na kuwaacha watanzania wazame gizani zaidi ya ilivyo sasa.
Fanya kitu, sema, huenda tutajua cha kufanya.