CCM inapaswa kujitafakari zaidi. Wanatumia mda mwingi kuuza sera za Chadema kwa vijembe visivokuwa na msingi huku wakisahau kunadi ilani yao
Kosa jingine kubwa walilolifanya ni kuamini kwa 100% kuwa kufikia mwaka huu upinzani ungekufa kwa sababu hawakupata platform ya kuzungumza kwa miaka...
Kwan mke wa mtu hawezi akawa demu?, Even though bado sijaconfirm kama ni mke wake Mkuu na kwa wakati huu sioni km kuna haja ya kutaka kuprove hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam wanajamvi,
Baada ya kuwa mpenzi mtazamaji kwa muda mrefu hapa jukwaani, basi hii scenario imenifanya nivunje ukimya. Nimekuwa nikitamani sana kuchangia lakini nadhani kuandika siyo kipaji changu.
Jana tarehe 11-01-2020 ambayo ilikuwa ni siku ya Jumamosi nilitoka na kwenda ku-refresh...
Mkuu nakupongeza kwa uwezo mkubwa wa kuandika makala ndefu.
Lakini nasikitika tu kusema andiko lako limekaa kihisia zaidi na sio uhalisia.
Probably you are just relieving your stress. Let me not judge this deeply until u come up with crucial facts.
Binafsi huyu Dr. Nashindwa kuelewa msimamo wake ni Upi na ana amini nini kwenye siasa za nchi hii, Kile ambacho alikiita Usaliti kwa kina mbowe kumuunga mkono lowassa ndo kilekile anachokofanya yeye saivi. Mfumo ambao yeye amekuwa akiukosoa kwa takribani miaka 10 saiv hatak ukoselewa ati kwa...
Hoja yako pekee kwa nini Lissu Sio presidential material ni kutokuwa na subira, Hii maana ake ni kwamba kwenye nyanja zingne zote za kiuongozi na kiutendaji umeona hana shida.
Naweza kukubaliana na wewe Endapo utamcompare Lissu na watu wengine But not the current president (Magufuli). Kama Jiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.