Tukilinganisha ya miaka ya karibuni 70,s series na defender,, defender kampita tuu land cruise kwenye performance basi isue za ugumu land cruise bado ni chuma,, ukilinganisha kwa miaka ya katikati hapo 2000,s kwa ugumu ni kama ziko tuu sawa ila engine land cruise ni bingwa sana tdi300 iko poa...
Hauko peke yako mimi pia hapa machozi yananilenga tangu mwaka 2016 mambo yangu yameharibika totally yaani all aspect of life,, elimu,, kazi,, mahusiano,, uchumi,, marafiki yaani niponipo tuu.. Kikubwa Nashukuru mungu nina afya njema basi ila isue zingine niko zero kabisa
Engine za petrol pia zinadu
Engine za petrol pia zinadumu
Engine za petrol pia zinadumu mfano ukiangalia engine za zamani kidogo zenye kutumia carburettor mfano 3y,,2y still zina run great hadi leo na ni zaidi ya 3yrs,, za sasa pia zipo zenye kuweza kufika km 1000000 mfano 1gr,, au uz famili...
Mkuu ni lini umetembele huko.. Mimi naishi olgilai mitaa ya juu ukimaliza kile kilima chenye zege.. Aise hiyo barabara ni Aibu tupu.. Barabara potential sana hiyo,, inahudumia halmashauri ya Arusha DC,, vyanzo vya maji ikiwemo chanzo kikubwa sana cha maji ya jeshi yanayotumika monduli,, misitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.