Recent content by BrainOs

  1. BrainOs

    Defender 110 vs Land Cruiser 70 Series – Nani ana 4x4 kali zaidi Off-Road? Post:

    Tukilinganisha ya miaka ya karibuni 70,s series na defender,, defender kampita tuu land cruise kwenye performance basi isue za ugumu land cruise bado ni chuma,, ukilinganisha kwa miaka ya katikati hapo 2000,s kwa ugumu ni kama ziko tuu sawa ila engine land cruise ni bingwa sana tdi300 iko poa...
  2. BrainOs

    Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Hauko peke yako mimi pia hapa machozi yananilenga tangu mwaka 2016 mambo yangu yameharibika totally yaani all aspect of life,, elimu,, kazi,, mahusiano,, uchumi,, marafiki yaani niponipo tuu.. Kikubwa Nashukuru mungu nina afya njema basi ila isue zingine niko zero kabisa
  3. BrainOs

    Wakuu kwema?

    Asante saba hi Sahihi ni 2.4l ila wanadai inasumbua sana compare na 2.2l DPF sio isue sana nitakuwa natembea masafa
  4. BrainOs

    Wakuu kwema?

    Naombeni experience ya land rover defender puma.. Ipi ni nzuri ambayo haisumbui yenye 2.5l engine au 2.2l engine,, mtandaoni naona 2.2l ikisifiwa sana
  5. BrainOs

    Fahamu kwanini gari zinazotumia Diesel zinadumu kwa muda mrefu zaidi tofauti na za Petrol

    Engine za petrol pia zinadu Engine za petrol pia zinadumu Engine za petrol pia zinadumu mfano ukiangalia engine za zamani kidogo zenye kutumia carburettor mfano 3y,,2y still zina run great hadi leo na ni zaidi ya 3yrs,, za sasa pia zipo zenye kuweza kufika km 1000000 mfano 1gr,, au uz famili...
  6. BrainOs

    Sababu Kwanini ni lazima kutumia Fully Synthetic Oil

    Na lab oil ni zipi? Yaani oil za maabara
  7. BrainOs

    KERO Barabara ya Waterfall - Arusha imejaa mashimo, Greda zipo Ofisi za Arusha DC zimepaki tangu 2025 mpaka matairi yameisha upepo

    Mkuu ni lini umetembele huko.. Mimi naishi olgilai mitaa ya juu ukimaliza kile kilima chenye zege.. Aise hiyo barabara ni Aibu tupu.. Barabara potential sana hiyo,, inahudumia halmashauri ya Arusha DC,, vyanzo vya maji ikiwemo chanzo kikubwa sana cha maji ya jeshi yanayotumika monduli,, misitu...
  8. BrainOs

    Naomba ushauri

    Zd30 engine tamu sana tena ya hardbody haina mambo mengi.. Shida ipo kwa wamiliki
  9. BrainOs

    Naomba ushauri

    Engine ni 3L?
  10. BrainOs

    Matatizo ya simu nyingi za Oppo, Redme na Vivo ni mafamba!!

    Kaka naomba ushauri juu ya motorola g64
  11. BrainOs

    Matatizo ya simu nyingi za Oppo, Redme na Vivo ni mafamba!!

    Vipi kuhusu motorola jamani,, nataka kuruka na motorola g64 nipeni ushauri
  12. BrainOs

    Xiaomi bwana! Wameiruka Xiaomi 16 wametoa Xiaomi 17, 17 Pro na 17 Pro Max!

    Tunafanana aise,, lisimu likubwa kama compass siwezani nayo.. Nilikuwa na redmi note 12s mtu akachukua kwa sasa sijui nihamie wapi
Back
Top Bottom