Recent content by BrainOs

  1. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Juzi nilikuwa huko napuru waterfall olgilai huko aise kidogo nilie machozi baridi inakata kama wembe
  2. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Inaitwa ILKIDING'A.. ofcoz arusha mjini hakuna baridi ila ukanda wa juu milimani aise ni hatari sana
  3. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Bondia Katompa (wa DRC) achomwa moto hadi kufariki huko Afrika Kusini

    Video inatisha walianza kumkata mssikio wakahamia miguu wakamalizia mikono
  4. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Bondia Katompa (wa DRC) achomwa moto hadi kufariki huko Afrika Kusini

    Kuna video juzi ilikuwa ikisambaa.. Mwanaume mmoja akiuwawa kikatili huko Congo.. Alichinjwa na kutenganishwa vipande vipande. Inadaiwa ni dereva wa South Africa alipeleka mzigo Congo.. Jamaa wakaamua kulipiza kisasi
  5. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Weekend Nyingine Karibuni! Demu huyu ntamtawanya na sitataka demu tena hadi mwezi uishe

    Kaka ni bless kidogo maisha huku bongo magumu
  6. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya AIRTM

    Kama umewah kutumia majina ni lazima zimatch?
  7. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya AIRTM

    Naomba msaada
  8. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya AIRTM

    Sio ATM ni AIRTM
  9. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya AIRTM

    Husika na kichwa cha habari hapo juu hivi kutoa hela zilizoko kwenye acc ya airtm ni lazima majina uliyosajilia line zifanane na zilizoko kwenye acc ya airtm.. Mfano kwenye lain ya simu jina linasoma musa jumbe na majina kwenye acc ya airtm yanasoma abdala hamza.? Ni lazima zifanane.?
  10. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Mimi nilizoea kwenye magari makubwa
  11. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Gari gani hiyo ina add blue?
  12. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Nasikia hadi mazda cx5 za mkaburu hazina usumbufu wa DPF
  13. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Ahaa Kumbe dungu za South hazina shida
  14. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Wewe si ulikuwa na dungu 3 na ukasema hazina shida kabisa iweje leo useme 2007/10 ni sumbufu?
  15. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Uono wa kiroho.. Pale taswira inapobaki tupu

    Nasema tiba ya hapa ni nini
Back
Top Bottom