Recent content by BrainOs

  1. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Mimi nilizoea kwenye magari makubwa
  2. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Gari gani hiyo ina add blue?
  3. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Nasikia hadi mazda cx5 za mkaburu hazina usumbufu wa DPF
  4. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Ahaa Kumbe dungu za South hazina shida
  5. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Wewe si ulikuwa na dungu 3 na ukasema hazina shida kabisa iweje leo useme 2007/10 ni sumbufu?
  6. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Uono wa kiroho.. Pale taswira inapobaki tupu

    Nasema tiba ya hapa ni nini
  7. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Uono wa kiroho.. Pale taswira inapobaki tupu

    Tiba yake ni nini
  8. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Je, Avatar yako hapa JamiiForums ina maana gani?

    Ushaa julikana sasa watu wataunga dots ni jamaa gani alikuwa akiitwa britanica na shule gani lazima wakujue tuu
  9. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Je, Avatar yako hapa JamiiForums ina maana gani?

    😂😂Wewe si ulikuwaga na beem vee ukaikimbia kumbe bado unapenda
  10. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Hata uki cheat mfumo bado shida itakuwepo,, dawa ya hiyo gari ni long trip tuuu..
  11. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Ukiitoa gari litafuka moshi
  12. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Good News kwa Wapenzi wa SUV: Mitsubishi wametangaza kurudi kwa Gari yao pendwa PAJERO!

    Si walibadilisha kutoka pajero wakaamua kuendelea na pajero sport
  13. BrainOs

    JamiiForums Tanzania Defender 110 vs Land Cruiser 70 Series – Nani ana 4x4 kali zaidi Off-Road? Post:

    Tukilinganisha ya miaka ya karibuni 70,s series na defender,, defender kampita tuu land cruise kwenye performance basi isue za ugumu land cruise bado ni chuma,, ukilinganisha kwa miaka ya katikati hapo 2000,s kwa ugumu ni kama ziko tuu sawa ila engine land cruise ni bingwa sana tdi300 iko poa...
Back
Top Bottom