Mimi ni kijana wa miaka 30, nilikutana na Binti Mmoja tukiwa chuo, miaka ya nyuma kidogo.. nikawa na namba yake, lakini nilimtomgonza, miezi Sita iliyopita akakubali, na nikamwambia nataka kumuoa. Ila sasa toka kipindi icho amekuwa akinilazimisha niende kwao kutoa posa na mahari. Tunaishi mikoa...
Unaonekana msomi lakini unauliza maswali kama ya mtu ambaye hajasoma, hii physical universe unataka kusema iliumbwa na Mungu!, Ulikuwepo kipindi anaiumba?, tuthibitishie uyo Mungu kuwa yupo. Usijaribu kutafuta majibu ya maswali makubwa, kwa Imani ambazo chanzo chake ni imagination tu, za wazee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.