Recent content by Bradd

  1. Bradd

    African Union supports COVID-19 Organic Medicine from Madagascar

    Namuona Kenyatta simuoni Magu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Bradd

    Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

    Tulivyoiweka imani yetu chini na kubeba yakwao ndipo tulipoitupa silaha yetu yakupambana nao.. Imani yetu katika mizimu ilishusha mvua katika jua, ikausimamisha upepo na waliogopa kuona hivyo.. Wakatuambia kuna dhambi kuamini vingine, wakatuonyesha picha ya yule wamuaminie nasi tukamwogopa...
  3. Bradd

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Part 2 Mimi + L + E tulipiga sana story hadi mida flani ya late noon, nilishtuka nikaona kama siku itaisha sijagusa tamuu ya L ndipo akili ikachanganya na nikakumbuka kuna ndugu yangu alikua akipita pita nikamwita nae hakusita akaja na kuchangamka maana alikua anamjua L, kumasihara L akamwambia...
  4. Bradd

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    (Uandishi siujui ila nitaiweka ieleweke) Miaka ya nyuma warembo waliniita doctor love maana kwenye mapenzi nilikua tabibu, mrembo akinitajia shida yake iwe kwa maneno ama vitendo lazima nitamtibu. Visa vipo vingi sana ila nitatoa moja baada ya nyingine; 1.SHAMBANI: Mama alikua na bar miaka hiyo...
  5. Bradd

    Kulikoni kwa lipi waafrika tunatukanwa hivi na wachina?

    Kuna ile video iliaambaa nchi fulani Africa ikiwaita wachina Corona huku wakiwa record.. Nadhani ndio sababu ya wao kufanya hivi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom