Ndugu...
Iruhusu akili yako ifikiri. Suluhu inatafutwa ndani sio nje. Vyuoni huwa kuna serikali za wanafunzi na "hierarchy" za uongozi. Issue hizo zinatatulika mapema tu, endapo zitafikishwa sehemu husiku.
Wewe uliyeleta hili suala hapa pia unamatatizo. Kama msomi, hii ni njia sahihi ya kutatua changamoto? Inaonekana ni Mwanafunzi ambaye huwezi kutatua changamoto zilizo kuzunguka. Huwezi kuja kuwa na mchango wowte kwenye taifa letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.