facts never lie.mungu akiua tunasema kachukua kiumbe chake .ila akiua shetani sasa tabu tupu.kwanza kwenye bibilia kuna hadi vita ambazo mungu kasaidia upande mmoja wa wanao pigana.wakati wote ni viumbe vyake .tumechoka kudanganywa tunataka ukweli halisi kuhusu mungu .sio huu tunao lazimishwa...
kama wewe kweli ulimpenda muoe.ukimwi hauzuii ndoa.ila kwa vile kakuambukiza hofu unamuona hafai kuolewa.angekua hana virusi ungekua ushaulizia mahari yake shi ngapiii??muombe mungu akujalie maarifa ujue ukimwi ni nini na wanao faidika nao ni kina nani?.jifunze dunia inaendeshwaje .utakuwa huna...
hata lucifer hakujiumba mwenyewe. bali kaumbwa.na anaishi kwa uwezo wa mungu.yaani wewe binadamu na lucifer ni watoto wa baba mmoja.tofauti yenu ni kwamba yeye lucifer alimkosea mungu akalaaniwa we binadamu unamkosea mungu lakini anakusamehe.
Kwenye mapenzi .hisia ndiyo zinahusika zaidi kuliko akili.wapo walio wafulia na kuwapa huduma zote ma boy frend zao na wakaja kuolewa nao.upendo ni zaidi ya ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.