Recent content by braco

  1. B

    Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

    Zero IQ, kifo na uhai ni mapacha
  2. B

    Katika mikasa ya Biblia, Mungu ameshawaua watu 2,800,000, wakati Shetani ni Watu 10 tu!

    facts never lie.mungu akiua tunasema kachukua kiumbe chake .ila akiua shetani sasa tabu tupu.kwanza kwenye bibilia kuna hadi vita ambazo mungu kasaidia upande mmoja wa wanao pigana.wakati wote ni viumbe vyake .tumechoka kudanganywa tunataka ukweli halisi kuhusu mungu .sio huu tunao lazimishwa...
  3. B

    Jinsi ya kufanya mapenzi usiku!

    hapa kweli nimeamini.kwamba chizi karogwa tena.jukwaa la mapenzi ubaleta mambo ya bible? .aliyekuroga kafa
  4. B

    Huyu ni mwanamke shujaa aliniyeniepusha na kifo; siwezi msahau maishani mwangu.

    kama wewe kweli ulimpenda muoe.ukimwi hauzuii ndoa.ila kwa vile kakuambukiza hofu unamuona hafai kuolewa.angekua hana virusi ungekua ushaulizia mahari yake shi ngapiii??muombe mungu akujalie maarifa ujue ukimwi ni nini na wanao faidika nao ni kina nani?.jifunze dunia inaendeshwaje .utakuwa huna...
  5. B

    Machache kuhusu filamu za ngono Marekani

    Anaitwa imani rose.ni noooomaaaahhh
  6. B

    Je kusudi la Mungu kumuunba mwanadamu ilikuwa ni lipi kati ya haya mawili?

    hilo ndilo jibu sahihi .malengo ya mungu kwa viumbe vyake anayajua yeye mungu.full stop.
  7. B

    Utajijuaje wewe ni freemason wa baadae, basi yafuatayo yatakutokea

    hata lucifer hakujiumba mwenyewe. bali kaumbwa.na anaishi kwa uwezo wa mungu.yaani wewe binadamu na lucifer ni watoto wa baba mmoja.tofauti yenu ni kwamba yeye lucifer alimkosea mungu akalaaniwa we binadamu unamkosea mungu lakini anakusamehe.
  8. B

    Camouflagers na informers

    thank u mshana .kwa elimu adimu
  9. B

    Vitu nane vya kipumbavu ambavyo wadada hufanya kwenye mapenzi

    Kwenye mapenzi .hisia ndiyo zinahusika zaidi kuliko akili.wapo walio wafulia na kuwapa huduma zote ma boy frend zao na wakaja kuolewa nao.upendo ni zaidi ya ndoa.
Back
Top Bottom