DP ni hatari kwa usalama wa majizi yaliyopo pale bandari ikizingatiwa kuwa wanategemewa na wapiga kelele wengi huku mtaani nani asie jua kuwa hata Mwenda zake alipambana nao
Leo hii Chadema wanalegezewa na CCM ili ionekane Mama Samia ni mpenda haki na Demokrasia? Huu ni unafiki wa hali ya juu.
Hivi hapa Mnafiki ni MLEGEZAJI au MLEGEZEWA??
Kwani unafikiri kwa kutumia nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.