Recent content by Boxkubwa

  1. B

    Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

    Yani hawa wanashindwa kuangalia vitu vyakutusaidia nakuwa makini kama na mawaziri kama mpina anasema wavuvi warudishiwe malizao bila mashariti yoyote sasa wanaotekeleza wanasema engine nilazima zikombolewe lakini generector mataa ndio vitatoka bure sasa amesema wapewe Mali zao bila mashariti...
  2. B

    Lakini nini hasa kusudi la Lissu katika harakati zake zote anazozifanya?

    Nimesoma na kuona kuwa unauliza swali lisu analitakia nn taifa jibu utajibiwa kwaswali je umewahi kujiuliza taifa lilikuwa linamtakia nini lisu tena maeneo ya bunge mpaka sasà hatujasikia uongozi haswa kwawale waliopewa dhamana yakulinda taifa na maeneo nyeti kama haya wakiwajibika kwasababu ya...
  3. B

    Nape aishukia serikali: Inatoa takwimu za uongo, inatumia uhakiki kama kichaka

    Hata Mimi nasema alichosema nape niukweli mtupu kwamfano wavuvi wengi ziwa Tanganyika hawavui uvuvi haram matokeo yake serekali imetuma wahuni wamechoma nyavu na kuteka vyombo vingine vya uvuvi kama vile engine mataa na geretor mwanzoni walisema watu wenye vifaa ilikuvipata tena lazima watoe...
  4. B

    Serikali yafungua milango ya bahari, yaruhusu watu kuvua hata bila Leseni

    Umeongea hapo ninachozungumzia Mimi niziwa Tanganyika umeomba zana zauvuvi zisalimishwe watu wametekeleza unapima nyavu unasema zipo sawa ndizo zinaruhusiwa kisheria alafu unauliza mwenyewe yupo wapi unaambiwa anaishi mjini kisha unasema kama hayupo atakuta jivu sisi tumetumwa pesa sio hivyo...
  5. B

    Serikali yafungua milango ya bahari, yaruhusu watu kuvua hata bila Leseni

    NTE="Azarel, post: 30246135, member: 383171"]UCHAGUZI UMEKARIBIA.....! Kura zinabembelezwa hapo. Sent using Jamii Forums mobile app Niwe muwazi kura yangu nafamilia yangu pamoja nawavuvi wangu hawapati hadi hasara walionipa bilakosa lolote warudishe naomba kwahili wavuvi wenzangu mniunge...
  6. B

    Serikali yafungua milango ya bahari, yaruhusu watu kuvua hata bila Leseni

    QUOTE="Retired, post: 30245620, member: 376984"]Habari ndiyo hiyo. Kila mmoja anaruhusiwa kuvua, bila leseni. Ni kweli mnapendwa na serikali au kuna kitu nyuma yake. Sensing something ahead that will need poorman's support? Unaunda tatizo, then unajifanya kulitatua! Sasa nyavu zetu tenahalali...
  7. B

    Baada ya RC Makonda kugawa Mtaa kwa Pengo,Sheikh Mohamed Said asema hakuna padre wala askofu aliyepigania Uhuru wa Tanganyika

    Unachoongea sijuwi umefanya utafiti au unabwabwaja tu kasome kitabu kimeandikwa kanisa katoliki nasiasa za t bara kumekuwa nauvumi kuwa waislamu hawakusoma ndio maana mpaka leo teuzi zina upande kuhusu teuzi rais hupelekewa majina ateuwe sasa wikiwa wanaopendekezwa hamna Islamic huleta majina ya...
  8. B

    Wamama wajawazito kujifungua kwa gharama ya TZS.150,000/ Hospitali za Serikali. Je, Serikali hii inatupeleka Wapi?

    Atuwekee risiti na picha ya hospitali kama hamna achuliwe hatuwa uongo usimuambukie mtoto aliozaliwa
  9. B

    Baada ya RC Makonda kugawa Mtaa kwa Pengo,Sheikh Mohamed Said asema hakuna padre wala askofu aliyepigania Uhuru wa Tanganyika

    Hilo jina lahuo mtaa watumie wanao muhusu kunaubaya gani wengine tuite jina lingine waowatumie hilo sisi tutauita jina lingine kwani lengo nikutugawa naonaudini unapandikizwa kwa nguvu sana hata teuzi sikitu kizuri tujenge umoja sio kutugawa
  10. B

    Baada ya RC Makonda kugawa Mtaa kwa Pengo,Sheikh Mohamed Said asema hakuna padre wala askofu aliyepigania Uhuru wa Tanganyika

    HV nikwanini kilamnapo fanya jambo laupendeleo wakidini mnakuja na hoja kwani kunafaida gani faida ipokuna kizazi kingingine kinakuja baada yasisi nahakuna kisichokuwa nafaida kwa kila kinacho wekwa wanataka baadae wawafute waislam katika nchi hii ndiomaana kila kitu kikubwa kinaitwa nyerere...
  11. B

    Kuelekea uchaguzi Serikali 2019/2020, Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero

    Laa hii ininaumiza sana wakati anatengeneza hivyo kunawatu tunaumia sana hata kushindwa kuumudu familia zetu
  12. B

    Kuelekea uchaguzi Serikali 2019/2020, Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero

    Sinahakika mtoa mada kamakichwani zinakutosha unasema anashughulikia kero haswa hapo kwa wavuvi huku ziwa Tanganyika tumeshangazwa sana nakitendo cha kuchoma nyavu zetu halali bilakuufata utaratibu tena wamekuja SAA 12 jioni bilakuchelewa saa 2 usiku wakawa wamechoma nyavu kibao hamna kupima...
  13. B

    Huyu ndiye Prof. Abdulrahman Mohamed Babu!

    Mwalimu ulikuwa ukimshauri swala usawa hopo.kasheshe
  14. B

    Nape Nnauye ni silaha itakayomuumiza sana JPM 2020

    Sasa huu muswada nikwafaida yanani kwamaana wapinzani hawautaki nabaadhi ya wanaccm haswa wabunge nao hawautaki naona rais nagenge lake ndio wako bize nao kuamini kuwa ccm haitegemei mtu au watu hojayako inamashaka jambo lipowazi kabisa muswada huu kunakitu umelenga umenunua wanachama madiwani...
Back
Top Bottom