Kuelekea uchaguzi Serikali 2019/2020, Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero

Tao

Member
Nov 10, 2018
95
157
Hodi humu waungwana

Ili chama chochote cha kisiasa kiweze kupata ushindi mnono katika chaguzi mbalimbali, kuna mbinu na mikakati(tactics and strategies)
Lakini kuna umuhimu wa kubaini mambo yenye kuvutia mijadala katika jamii na kuyawekea mkakati.

Katika kukihakikishia ushindi katika chaguzi zilizoko mbele yetu,yaani zile za serikali za mitaa mwaka huu 2019 na uchaguzi mkuu ujao wa 2020 ,Jemedari na kamanda mkuu Rais John Joseph Pombe Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero,changamoto au matatizo yanayokabili makundi ya kijamii.
kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kijamii,kisiasa na kiuchumi yafuatayo yalipaswa kushughulikiwa na JPM kuelekea 2019 na 2020,wachambuzi hao wanaduazwa na namna JPM anavyoyafyekelea mbali

1.Kikokotoo-hapa amemaliza kazi 100%

2.Issue ya korosho-hapa amefanya kazi nzuri,hatahivyo bado kuna malalamilko kadhaa,hayo malalamiko yasipuuzwe.

3.Mishahara ya watumishi wa umma iongezwe angalau kwa asilimia 10%naamini na hili atalifyekelea mbali.

4.Mzunguko wa fedha,yaani Money circulation,hili limeanza kufanyiwa kazi.

5.Uvuvi-kulikuwa na kilio hasa kanda ya ziwa kutokana na wavuvi kuchomewa nyavu zao,serikali hii sikivu imeanza kulishughulikia,

6Ubomoaji-hili linashughulikiwa,Mhe Rais amenikosha baada ya kutoa agizo kuwa waliojenga kwenye hifadhi wasibomolewe nyumba zao bali wapewe hati.

7.Makato ya asilimia 15% kwenye mishahara ya wanafunzi wa vyuo kutokana na mikopo wa elimu ya juu ipunguzwe angalau mpaka 8% kama ilivyokuwa zamani.

8.Ajira-Serikali imwage ajira kwa wingi.Hapa kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoa takwimu za ajira zitakazobainisha idadi ya ajira mpya zilizopatikana katika sekta rasmi na isiyo rasmi toka tuanze utekelezaji wa ilani ya 2015-2020

9.Madini-Nyote ni mashahidi wa tukio la leo,hili amelifyekelea mbali.

10.Kuondoa ukuta uliokuwepo kati ya serikali na viongozi wa taasisi za dini hapa nchini-hili linakwenda vizuri sana.

11.Mikopo kwa vikundi ya wajasiriamal-Bado kidogo,serikali iongeze kasi katika hili.

katika kubaini mambo yanayovutia mijadala katika jamii,mikakai mingi imefanyika katika maeneo kadha wa kadha mfano ni Tanzania ya viwanda,Demokrasia na haki za binadamu na rushwa.

Kwa hali ilivyo ni afadhali Chadema na wenzao wajitoe kwenye uchaguzi mkuu ujao kwani watakumbana na aibu na zahama ya karne.

Mungu atupe uhai.
 
Hodi humu waungwana

Ili chama chochote cha kisiasa kiweze kupata ushindi mnono katika chaguzi mbalimbali, kuna mbinu na mikakati(tactics and strategies)
Lakini kuna umuhimu wa kubaini mambo yenye kuvutia mijadala katika jamii na kuyawekea mkakati.
Katika kukihakikishia ushindi katika chaguzi zilizoko mbele yetu,yaani zile za serikali za mitaa mwaka huu 2019 na uchaguzi mkuu ujao wa 2020 ,Jemedari na kamanda mkuu Rais John Joseph Pombe Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero,changamoto au matatizo yanayokabili makundi ya kijamii.
kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kijamii,kisiasa na kiuchumi yafuatayo yalipaswa kushughulikiwa na JPM kuelekea 2019 na 2020,wachambuzi hao wanaduazwa na namna JPM anavyoyafyekelea mbali
1.Kikokotoo-hapa amemaliza kazi 100%
2.Issue ya korosho-hapa amefanya kazi nzuri,hatahivyo bado kuna malalamilko kadhaa,hayo malalamiko yasipuuzwe.
3.Mishahara ya watumishi wa umma iongezwe angalau kwa asilimia 10%naamini na hili atalifyekelea mbali.
4.Mzunguko wa fedha,yaani Money circulation,hili limeanza kufanyiwa kazi.
5.Uvuvi-kulikuwa na kilio hasa kanda ya ziwa kutokana na wavuvi kuchomewa nyavu zao,serikali hii sikivu imeanza kulishughulikia,
6Ubomoaji-hili linashughulikiwa,Mhe Rais amenikosha baada ya kutoa agizo kuwa waliojenga kwenye hifadhi wasibomolewe nyumba zao bali wapewe hati.
7.Makato ya asilimia 15% kwenye mishahara ya wanafunzi wa vyuo kutokana na mikopo wa elimu ya juu ipunguzwe angalau mpaka 8% kama ilivyokuwa zamani.
8.Ajira-Serikali imwage ajira kwa wingi.Hapa kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoa takwimu za ajira zitakazobainisha idadi ya ajira mpya zilizopatikana katika sekta rasmi na isiyo rasmi toka tuanze utekelezaji wa ilani ya 2015-2020
9.Madini-Nyote ni mashahidi wa tukio la leo,hili amelifyekelea mbali.
10.Kuondoa ukuta uliokuwepo kati ya serikali na viongozi wa taasisi za dini hapa nchini-hili linakwenda vizuri sana.
11.Mikopo kwa vikundi ya wajasiriamal-Bado kidogo,serikali iongeze kasi katika hili.
katika kubaini mambo yanayovutia mijadala katika jamii,mikakai mingi imefanyika katika maeneo kadha wa kadha mfano ni Tanzania ya viwanda,Demokrasia na haki za binadamu na rushwa.
Kwa hali ilivyo ni afadhali Chadema na wenzao wajitoe kwenye uchaguzi mkuu ujao kwani watakumbana na aibu na zahama ya karne.
Mungu atupe uhai.



https://www.facebook.com/ufi/reacti...s6MjI3Mzk1MzUwNTk5NDc0NA==&av=100001403514166
Iv una akili kweli wewe??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hodi humu waungwana

Ili chama chochote cha kisiasa kiweze kupata ushindi mnono katika chaguzi mbalimbali, kuna mbinu na mikakati(tactics and strategies)
Lakini kuna umuhimu wa kubaini mambo yenye kuvutia mijadala katika jamii na kuyawekea mkakati.
Katika kukihakikishia ushindi katika chaguzi zilizoko mbele yetu,yaani zile za serikali za mitaa mwaka huu 2019 na uchaguzi mkuu ujao wa 2020 ,Jemedari na kamanda mkuu Rais John Joseph Pombe Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero,changamoto au matatizo yanayokabili makundi ya kijamii.
kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kijamii,kisiasa na kiuchumi yafuatayo yalipaswa kushughulikiwa na JPM kuelekea 2019 na 2020,wachambuzi hao wanaduazwa na namna JPM anavyoyafyekelea mbali
1.Kikokotoo-hapa amemaliza kazi 100%
2.Issue ya korosho-hapa amefanya kazi nzuri,hatahivyo bado kuna malalamilko kadhaa,hayo malalamiko yasipuuzwe.
3.Mishahara ya watumishi wa umma iongezwe angalau kwa asilimia 10%naamini na hili atalifyekelea mbali.
4.Mzunguko wa fedha,yaani Money circulation,hili limeanza kufanyiwa kazi.
5.Uvuvi-kulikuwa na kilio hasa kanda ya ziwa kutokana na wavuvi kuchomewa nyavu zao,serikali hii sikivu imeanza kulishughulikia,
6Ubomoaji-hili linashughulikiwa,Mhe Rais amenikosha baada ya kutoa agizo kuwa waliojenga kwenye hifadhi wasibomolewe nyumba zao bali wapewe hati.
7.Makato ya asilimia 15% kwenye mishahara ya wanafunzi wa vyuo kutokana na mikopo wa elimu ya juu ipunguzwe angalau mpaka 8% kama ilivyokuwa zamani.
8.Ajira-Serikali imwage ajira kwa wingi.Hapa kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoa takwimu za ajira zitakazobainisha idadi ya ajira mpya zilizopatikana katika sekta rasmi na isiyo rasmi toka tuanze utekelezaji wa ilani ya 2015-2020
9.Madini-Nyote ni mashahidi wa tukio la leo,hili amelifyekelea mbali.
10.Kuondoa ukuta uliokuwepo kati ya serikali na viongozi wa taasisi za dini hapa nchini-hili linakwenda vizuri sana.
11.Mikopo kwa vikundi ya wajasiriamal-Bado kidogo,serikali iongeze kasi katika hili.
katika kubaini mambo yanayovutia mijadala katika jamii,mikakai mingi imefanyika katika maeneo kadha wa kadha mfano ni Tanzania ya viwanda,Demokrasia na haki za binadamu na rushwa.
Kwa hali ilivyo ni afadhali Chadema na wenzao wajitoe kwenye uchaguzi mkuu ujao kwani watakumbana na aibu na zahama ya karne.
Mungu atupe uhai.



https://www.facebook.com/ufi/reacti...s6MjI3Mzk1MzUwNTk5NDc0NA==&av=100001403514166
Unaotoa au unasoma hadithi za Abunuwasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo yote danganya toto, siraha yao ya ushindi ni kuiba kura na kupora ushindi kwa msaada wa tiss na police na NEC, hayo anayofanya ni maigizo tu ya kujitafutia uhalali wa kuiba kura na kupora ushindi, na ndio maana ameweka makada watiifu kuwa wasimamizi wa uchaguzi na kuwapa maelekezo ole wako umtangaze upinzani kashinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo yote danganya toto, siraha yao ya ushindi ni kuiba kura na kupora ushindi kwa msaada wa tiss na police na NEC, hayo anayofanya ni maigizo tu ya kujitafutia uhalali wa kuiba kura na kupora ushindi, na ndio maana ameweka makada watiifu kuwa wasimamizi wa uchaguzi na kuwapa maelekezo ole wako umtangaze upinzani kashinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann msiibe na nyie!????? Mmezuiliwa kuiba????

Endeleeni kulalamika ....mnafikiri kuna baba yenu wa kuja kuwahurumia!!!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hodi humu waungwana

Ili chama chochote cha kisiasa kiweze kupata ushindi mnono katika chaguzi mbalimbali, kuna mbinu na mikakati(tactics and strategies)
Lakini kuna umuhimu wa kubaini mambo yenye kuvutia mijadala katika jamii na kuyawekea mkakati.
Katika kukihakikishia ushindi katika chaguzi zilizoko mbele yetu,yaani zile za serikali za mitaa mwaka huu 2019 na uchaguzi mkuu ujao wa 2020 ,Jemedari na kamanda mkuu Rais John Joseph Pombe Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero,changamoto au matatizo yanayokabili makundi ya kijamii.
kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kijamii,kisiasa na kiuchumi yafuatayo yalipaswa kushughulikiwa na JPM kuelekea 2019 na 2020,wachambuzi hao wanaduazwa na namna JPM anavyoyafyekelea mbali
1.Kikokotoo-hapa amemaliza kazi 100%
2.Issue ya korosho-hapa amefanya kazi nzuri,hatahivyo bado kuna malalamilko kadhaa,hayo malalamiko yasipuuzwe.
3.Mishahara ya watumishi wa umma iongezwe angalau kwa asilimia 10%naamini na hili atalifyekelea mbali.
4.Mzunguko wa fedha,yaani Money circulation,hili limeanza kufanyiwa kazi.
5.Uvuvi-kulikuwa na kilio hasa kanda ya ziwa kutokana na wavuvi kuchomewa nyavu zao,serikali hii sikivu imeanza kulishughulikia,
6Ubomoaji-hili linashughulikiwa,Mhe Rais amenikosha baada ya kutoa agizo kuwa waliojenga kwenye hifadhi wasibomolewe nyumba zao bali wapewe hati.
7.Makato ya asilimia 15% kwenye mishahara ya wanafunzi wa vyuo kutokana na mikopo wa elimu ya juu ipunguzwe angalau mpaka 8% kama ilivyokuwa zamani.
8.Ajira-Serikali imwage ajira kwa wingi.Hapa kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoa takwimu za ajira zitakazobainisha idadi ya ajira mpya zilizopatikana katika sekta rasmi na isiyo rasmi toka tuanze utekelezaji wa ilani ya 2015-2020
9.Madini-Nyote ni mashahidi wa tukio la leo,hili amelifyekelea mbali.
10.Kuondoa ukuta uliokuwepo kati ya serikali na viongozi wa taasisi za dini hapa nchini-hili linakwenda vizuri sana.
11.Mikopo kwa vikundi ya wajasiriamal-Bado kidogo,serikali iongeze kasi katika hili.
katika kubaini mambo yanayovutia mijadala katika jamii,mikakai mingi imefanyika katika maeneo kadha wa kadha mfano ni Tanzania ya viwanda,Demokrasia na haki za binadamu na rushwa.
Kwa hali ilivyo ni afadhali Chadema na wenzao wajitoe kwenye uchaguzi mkuu ujao kwani watakumbana na aibu na zahama ya karne.
Mungu atupe uhai.



Se connecter à Facebook | Facebook
Sinahakika mtoa mada kamakichwani zinakutosha unasema anashughulikia kero haswa hapo kwa wavuvi huku ziwa Tanganyika tumeshangazwa sana nakitendo cha kuchoma nyavu zetu halali bilakuufata utaratibu tena wamekuja SAA 12 jioni bilakuchelewa saa 2 usiku wakawa wamechoma nyavu kibao hamna kupima nahata ingetokea kupima huwezi kuzipima usiku nakutenda haki walipomaliza kuchoma wakakusanya engine zinazotumika katika uvuvi na zisizotumika katika uvuvi kuna engine zinatumika kusafirisha abiria katika maboti kwenda hapa napale kwakuwa shida kubwa ilikuwa kukusanya pesa ndioiliopelekea wakachoma haraka haraka ndipo tunalazimishwa kuzikomboa engine kwa laki 5 kilamoja umechomewa nyavu yako halafu unatakiwa kulipa lakini 5 ndio update engine yako kwahiyo ukisema anashughulikia kero nakushangaa wakati anazalisha kero utakumbuka wakati anawapa mtaji wakazi hiyo aliwaambia kama sikusahau nawapa m 500 zirudi nafaida kwakauli hii mkuu amekuja kuongeza kero hata sehemu zilikuwa hazina kero pia katutia umasikini mkubwa alafu anatafuta kodi afahamu huku ziwa Tanganyika kuna uvuvi unaitwa kipe uvuvi huu sio haramu kabisa unahifadhi viumbe vizuri na nisalama na unafanyika kwenye kina cha maji kirefu sana kama unavyo juwa ziwa Tanganyika lilivyo kilicho tokea ni uonevu ulipitiliza ama sikuhizi dhuluma pianichanzo cha mapato nazungumzia uvuvi salama kabisa wa vipe nasi hatujaona anakuja kufanya mazungumzo na kuuchunguza uvuvi huu kama ilivyo zaniwa kifupi ametupa kero iliokuwa haipo sijaona alipo shughulikia mtoa mada acha upumbavu matokeo yake kiongozi aliongoza kapata teuzi
 
Hodi humu waungwana

Ili chama chochote cha kisiasa kiweze kupata ushindi mnono katika chaguzi mbalimbali, kuna mbinu na mikakati(tactics and strategies)
Lakini kuna umuhimu wa kubaini mambo yenye kuvutia mijadala katika jamii na kuyawekea mkakati.

Katika kukihakikishia ushindi katika chaguzi zilizoko mbele yetu,yaani zile za serikali za mitaa mwaka huu 2019 na uchaguzi mkuu ujao wa 2020 ,Jemedari na kamanda mkuu Rais John Joseph Pombe Magufuli anafanya kazi nzuri ya kuzishughulikia kero,changamoto au matatizo yanayokabili makundi ya kijamii.
kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kijamii,kisiasa na kiuchumi yafuatayo yalipaswa kushughulikiwa na JPM kuelekea 2019 na 2020,wachambuzi hao wanaduazwa na namna JPM anavyoyafyekelea mbali

1.Kikokotoo-hapa amemaliza kazi 100%

2.Issue ya korosho-hapa amefanya kazi nzuri,hatahivyo bado kuna malalamilko kadhaa,hayo malalamiko yasipuuzwe.

3.Mishahara ya watumishi wa umma iongezwe angalau kwa asilimia 10%naamini na hili atalifyekelea mbali.

4.Mzunguko wa fedha,yaani Money circulation,hili limeanza kufanyiwa kazi.

5.Uvuvi-kulikuwa na kilio hasa kanda ya ziwa kutokana na wavuvi kuchomewa nyavu zao,serikali hii sikivu imeanza kulishughulikia,

6Ubomoaji-hili linashughulikiwa,Mhe Rais amenikosha baada ya kutoa agizo kuwa waliojenga kwenye hifadhi wasibomolewe nyumba zao bali wapewe hati.

7.Makato ya asilimia 15% kwenye mishahara ya wanafunzi wa vyuo kutokana na mikopo wa elimu ya juu ipunguzwe angalau mpaka 8% kama ilivyokuwa zamani.

8.Ajira-Serikali imwage ajira kwa wingi.Hapa kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoa takwimu za ajira zitakazobainisha idadi ya ajira mpya zilizopatikana katika sekta rasmi na isiyo rasmi toka tuanze utekelezaji wa ilani ya 2015-2020

9.Madini-Nyote ni mashahidi wa tukio la leo,hili amelifyekelea mbali.

10.Kuondoa ukuta uliokuwepo kati ya serikali na viongozi wa taasisi za dini hapa nchini-hili linakwenda vizuri sana.

11.Mikopo kwa vikundi ya wajasiriamal-Bado kidogo,serikali iongeze kasi katika hili.

katika kubaini mambo yanayovutia mijadala katika jamii,mikakai mingi imefanyika katika maeneo kadha wa kadha mfano ni Tanzania ya viwanda,Demokrasia na haki za binadamu na rushwa.

Kwa hali ilivyo ni afadhali Chadema na wenzao wajitoe kwenye uchaguzi mkuu ujao kwani watakumbana na aibu na zahama ya karne.

Mungu atupe uhai.
Hujuma kwa watumishi na majibu ya kuwaumiza wameyameza katika mioyo yao. Niwapongeze wao kwa kuyabeba maumivu haya makali.

Serikali hii imewaona watumishi ni wajinga sana kupita vipindi vyote vilivyopita.
Morali ya watumishi kufanya kazi kwa moyo hakuna, wanafanya tu kwa mazoea ilimradi apite aondoke zake.

Anajiona anayohaki ya kuwanyanyasa lakini hana haki ya kuwafanya waipende kazi yao kwa moyo.

Ndio maana kila kukicha anawabadili watumishi wake mfano mawaziri ila hakuna nafuu. Anabaki kulalama labda wamerogwa si kweli,

Hawa ndio wale aliowajaza matumaini mwanzoni wakafanya kazi kweli kweli wakitegemea wamempata mtu atakaye wafikiria, ndio maana ya makusanyo yale mengi aliyojinadi nayo mwanzoni.

Leo watumishi hawana hamu naye kila anayemuweka hana ujinga kama wa mwanzo tena, mwendo ni kuiba wanaondoka.

Maana hawajengei matumaini mazuri, hata pensheni zao alizitikisa kwa makusudi.

Leo makusanyo sh. Ngapi?
Hata akimuweka rafiki yake vipi anapiga, na lazima apige maana kesho yake haijui hakuna uhakika na kazi aifanyayo.

Na yeye hawezi kufika kila mahari kwa hiyo acheni kuleta faraja za kijinga kwa watumishi msiwafanye makatuni zungumzieni ya kwenu haya hamyawezi.

Wananchi ni moyo wa serikali, lakini watumishi ndio damu ambayo kama haijafika sehemu fulani ya mwili kwa ufasaha serikali inaonekana imepararize eneo hilo.


Watumishi wanao umuhimu mkubwa sana kwa serikari. Ukikuta mahali mtumishi wa ndani kamuibia bosi wake na kutokomea jihoji kumhusu huyu bosi. Maana mahali pengine hata bosi akisafiri atamkuta mtumishi wake na mahali pake atakuta pako salama.

Jiulizeni kwa nini zamani sehemu ya usalama wa taifa walitoka miongoni mwa watumishi wa umma na walifanikiwa hata nidhamu ilikuwa juu.

Kuwadhoofisha watumishi ni kuidhoofisha serikali, maana damu ikichafuka mwili utazikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom