Recent content by BOWTHRUSTER

  1. B

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Sasa mtu utakuta hela hana,kula yake mbovu na bange yenyewe mpaka aende maskani akagongee wana,ataacha kudata huyo? Bange kama pesa ya uhakika unayo na huna stress 😩 za hovyo haiwezi kukuzingua hata siku moja.
  2. B

    Hivi kuna mtanzania amewahi kwenda kutafuta maisha nchini India akatoboa?

    Ni kweli kabisa mkuu,niliwahi kufika Alabama kuna mji unaitwa Mobile,una watu weusi wengi sanaa!!,halafu wengi wao choka mbaya na masela kwa sana.
  3. B

    Boti la uokoaji limefika Morogoro, Dereva aelezea changamoto anazokumbana nazo barabarani

    Mkuu inaonekana ww kidogo una chuki na Uislamu kwa mujibu wa sentence yakoyamwisho. Halafu inaonekana huna uelewa wowote na masuala ya ships construction. Meli au boat kukatwa vipande na ku-assemble upya haimaanishi kuwa itakatwa yote kama vile inapokatwa kwa ajili ya scraper. Tena kwa boat...
  4. B

    Diamond apewa cheti Cha appreciation Baada ya kujaza ukumbi London

    Mimi naona kujaza ukumbi si tatizo,je kiingilio kilikuwa sawa na hao walioandikwa majina yao kwenye hicho cheti?(Adele,Jay-Z,Kendrick Lamar,Spice Girls n.k)inawezekana kiingilio kilikuwa rahisi ndiyo maana watu wakajaa. Kwa waliokuwemo ukumbini watuambie tufahamu.
  5. B

    KERO Wafanyakazi wengi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wanailetea picha mbovu Tanzania kwa kusoka weledi wa kazi

    Pale Cairo ni noma!!!,wazee wa bakshish 😃 😀 😄 😁 hata ukiwa na kibegi chako kidogo cha mgongoni mtu anafosi akubebee halafu anakwambia 'bakshish bakshish'!!
  6. B

    Nimefanya kazi na wahindi wiki moja hawa jamaa wanapenda kupelekesha wabongo asee

    Labda mzungu wa Ulaya magharibi,usiombe ukutane na vishoka (Ukrainian,Russian).Hao jamaa ni wapuuzi sana!
  7. B

    Magaidi wa Hamas waanza kuuana wao kwa wao!! Malipo ni hapa hapa duniani!!

    Sibishani na mapunga,kama unawashwa njoo ukunwe choko maziwa ww
  8. B

    PreGE2025 VIDEO: Mwijaku amuombea Dua Rais Samia katika Ibada Umra huko Makkah, ashinde Uchaguzi Oktoba 2025

    Badala ya kuomba pepo yake anaomba mtu ashinde uchaguzi ambao hauko ktk mazingira uhuru na haki kwa mujibu wa mfumo uliopo.
  9. B

    Hivi TCRA imewashindwa kabisa hawa watu wanaotuma SMS za kitapeli au kuna nini kinachoendelea?

    Halafu cha ajabu ni kwamba ukiweka tu pesa nyingi kwenye simu haichukui muda utaona inaingia message ya 'ile pesa tuma kwenye namba hii'
  10. B

    Katika marafiki ulio nao wangapi ni marafiki zako?

    Filisika uwajue marafiki zako wa UKWELI akina nani
  11. B

    MSAADA: Chuo gani kinafundisha short course za FIRE FIGHTING?

    Dar es Salaam Maritime Institute (DMI)wanafundisha Basic fire fighting na Advanced fire fighting.
  12. B

    Mambo ya Msingi Sana katika maisha

    No 5 inamuhusu Haji Manara,alitukana sana watu siku aliyoondoka mtaa wa Msimbazi (Simba)
  13. B

    Simba mjipange kuloga, mechi taifa kutawaliza

    Aziloheki ndiyo nini?
Back
Top Bottom