HELASITA SECONDARY SCHOOL: JOB VACANCY ADVERTISEMENT
Helasita Secondary School is looking for highly qualified, and experienced competent teachers and support staff to fill the following vacancies;
1. Physics & Mathematics (1post)
2. Commerce & Bookkeeping (1post)
3. English &...
Helasita Secondary School iliyopo wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam bado tunahitaji mlezi wa vijana wetu (Patron) hivyo bado nafasi ipo wazi tunaendelea kumtafuta mtu huyo.
Priority ni kwa aliye somea maswala ya Community Health, Nursing, Sociology ama course yoyote inayohusiana na jamii...
NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA JAN 2021
Shule ya Sekondari ya wavulana Helasita iliyopo Jijini Dar es Salaam inapenda kuwatangazia ndugu wazazi/walezi kuwa bado kuna nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2021 na kwamba usaili unafanyika shuleni Helasita.
Pia zipo nafasi...
Niukweli mtupu, vijana umizeni vichwa, wahenga walikuwa hawakosei:-
Kisamvu hutwangwa nje, hivyo kama mvua inanyesha upo uwezekano wa ku attract umajimaji kwenye mtwangio pamoja na kinu.
Urefu wa mtwangio na urefu wa mtu anayetwanga kwa kusimama huvutia radi kupenya na kuleta madhara...
Ahsanteni wote mliotuma application zenu, waalimu walisha patikana baada ya kufanyiwa interview hivyo nafasi hizi zimefungwa.
Itakapo tokea nafasi nyingine tutapeana taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shule ya Helasita Sekondari iliyopo Mtoni Kijichi - Temeke jijini Dar es salaam, inatangaza nafasi za kazi ya ualimu kwa masomo yafuatayo.
Physics/Mathematics (nafasi 1)
Biology/Chemistry (nafasi 1)
Maombi yote yatumwe kupitia email ya shule ambayo ni:-
info@helasitasecondary.ac.tz
Pia...
Askofu Cardinali Pengo anaonekana bado anayo nguvu ya kulitumikia kanisa, leo ameongoza ibada ya kubariki mafuta ya Krisma takatifu ibada iliyofanyika katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph.
Kama askofu Pengo bado amekalia kiti cha uaskofu, kulikuwa na haja gani ya kumteuwa askofu mwandamizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.