Nafasi za kujiunga kidato cha kwanza Jan 2021

Nafasi za kujiunga kidato cha kwanza Jan 2021

bottleneck

Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
43
Reaction score
13
NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA JAN 2021
Shule ya Sekondari ya wavulana Helasita iliyopo Jijini Dar es Salaam inapenda kuwatangazia ndugu wazazi/walezi kuwa bado kuna nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2021 na kwamba usaili unafanyika shuleni Helasita.

Pia zipo nafasi chache za kuhamia kwa wanafunzi wa kidato cha pili na cha tatu. Kwa maelezo zaidi fika shuleni Temeke-Mtoni Kijichi au wasiliana nasi kupitia

Simu: +255 692 372 920 / +255 766 961 564
Email: info@helasitasecondary.ac.tz
website: Helasita Secondary School | Aspire | Conquer | Lead
 
Back
Top Bottom