Dah na kweli... hebu punguzen jmn. Nataka kuamini hakua mtu wa hivyo bali mstaarabu katika nafasi yake. Wote hatulingani jmn. Tumuache apumzike mahali pema peponi na sie tuendelee kuomba kifo chema hasa wale ambao bado tuposafarini...
RIP KIZZO
Tendo lipo kwa wote.. mara nyingi ndoa hufarakana kwa sababu tendo linaoneka ni kwa mume tu. Jmn wake pia game wanapenda na kuhitaji. Huondoa upweke na hurudisha hata hiyo heshima kwa mume. Inawaweka wawekaribu hence heshima mapenzi mpenzi heshimu
Naunga mkono hasa point ya kwanza. Kwa mtajo wako wa akili hamna atakae kufilisi wala kukuibia. Utachimba kima chako mwenyewe ideas na nini vha kufanya mpama hesabu isimame.
Nitarudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.