Recent content by BOSS YA MBOKA

  1. B

    JamiiForums Tanzania Jealous ya Ali Kiba yapata anguko kubwa licha ya views nyingi, sababu ni hizi

    Embu nenda kasome kwanza factors (vigezo ) vinavyo tumiwa na hao You tube kuiweka video iliyopotiwa kuwa trending no 1. Halafu baada ya hapo njoo utoe lecture tena.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Ndombolo na saluti zote zimeshindwa kuwa namba moja youtube trending, tatizo nini?

    Kama unaelewa vizuri neno Trending huwezi shangaa kwa nini zuchu ni trending no.1 yaani mpaka kamshusha Boss wake anayefahamika duniani nzima. Kwanzaa trending video YouTube huwa zinakuwa updated kila baada ya dakika 15 ampapo kila baada ya huu muda utakuta kuna video imepanda nafasi imemantain...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Hivi Ali Kiba alimaanisha nini alipoimba kwa kusema 'Ushamba mwisho kwa mtoto wa Kariakoo'?

    Wakulungwa inakuwaje? Kwa wale mliowahi kukaa na kuishi mitaa ya kariakoo au mpaka sasa mnaishi hapo Kariakoo naombeni mnijuze kwa wale mnaojua hii kauli ya watoto wa Mjini akina KINGKIBA wa maeneo ya kariakoo wanayopenda kutumia kuwa "USHAMBA MWISHO KWA MTOTO WA KARIAKOO" wana maana gani maana...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba amfundisha Zuchu namna ya kufanya kazi Youtube

    Nasikia baada ya DIVA kwenda wasafi anayefuata ni wewe, unaenda kuanzisha kipindi kipyaaa cha kuchambua wasanii kutoka Congo ambao Diamond huwa anawashirikisha pale anapotaka kutoabolingo
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba amfundisha Zuchu namna ya kufanya kazi Youtube

    Izuka tupo apa K27 unaweza ukasogea ? njoo tu wala usiogope, ili utusimulie vizuri mambo ya mifumo.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba amfundisha Zuchu namna ya kufanya kazi Youtube

    VITA YA VIEWERS NA TRENDING KWENYE YOU TUBE. Baada ya Ali Kiba kuachia nyimbo yake ya Ndomboro na nyimbo hiyo kutrend kuanzia audio, dance akiwa na mwanae pia video yenyewe sasa official Zuchu naye kafuata ubunifu kama huo wa KINGKIBA wakuachia audio, dance akiwa na madancer wake ampapo baadae...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Msanii Diamond Plutnumz akutana na Katibu wa Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka

    Naona baada ya dada wa taifa kumuwekea ujumbe wake kule upande wa pili kuhusu fobusi kijana anajaribu kusawazisha .
  8. B

    JamiiForums Tanzania Natoa ushauri wa bure kwa CHADEMA ili ki-survive hadi 2025

    Wamekusikia akija mwenye visheni yake kutoka Dubai watamueleza wale ambao hawamuogopi japo nasikia wengi wao wanamuogopa hawawezi kumwambia chochote kinachohusu ukweli wa chama chao.
Back
Top Bottom