Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mawazo yakoUnateseka ukiwa wapi wewe mtoa thread !? Ww una uhakika gani Kama alinunua views wivu Ni kidonda ndugu yangu and no research no right to speak Bora ungemsimanga alikiba juu ya swala lake la KUTOKUWA mbunifu hapo ningekuelewa maana hicho ndo seems kinamuangusha maana yeye yupoyupo tu Kama vile anafanya mziki wa gospel, kapooza, Hana Kiki, haendi na fashion, hajui kucheza na mziki wa Sasa Ni wa amapiano zaidi or even trends to make him kusikika Mara kwa Mara , hapo ungeeleweka lkn sio hiz point zako ambazo hazimake sense
Hivi ni kwa nini bado mnapenda kushindanishana kwenye views badala ya Streams ambazo hazina utata?Ni takribanai wiki 2 kasoro tangu video ya Kiba itolewe lakini tumeshangazwa kuona mfalme (kama ajiitavyo) katoa kaze 2 mfululizo (jealous & ndomboloo) ila kashindwa kutetea kwa vitendo kiti chake walau kwa kushika namba 1 kwenye trending videos za youtube, Ni ajabu na wengi wamebaki vinywa wazi maana haijazoeeka, Tumezoea akitoa ngoma basi ni kawaida kukaa kwenye kiti hicho walau kwa wiki ila kwa sasa imekuwa shughuli pevu kukaa pale juu hata kwa nusu saa.
Sababu kuu ni hizi
1. Ngoma aliitoa kibifu / kikomoaji zaidi
historia iliwahi kumpendelea kiba pale Diamond alipotoa ngoma ya "zilipendwa" muda mfupi baada ya Kiba kutoa "Seduce me", Mondi nahisi hatakuja kusahau lile fundisho kwa sababu Ali kiba alijizolea maksi nyingi sana na ile seduce me ikapata umaarufu mkubwa mno, somo likiwa ni kwamba usitoe ngoma kibifu ama kumkomoa mwenzako ambaye katoka kutoa ngoma kwenye level hasa akiwa ni staa mkubwa,
Na sasa historia inajirudia Ali kiba katoa ngoma kibifu zaidi ama kukukomoa flani hivi, kaona staa mwenzake katoa ngoma nae fasta fasta katoa, hakika anavuna alchopanda!!, Matokeo yake ndio kama tunavyoona somo linavyoendelea huko youtube, ngoma imekuwa imedoda yani, si kwa hadhi aliyonayo Kiba, na kwa sasa inashuka kwa spidi ya radi katika orodha ya trending videos huko youtube, kwa sasa ni ya 7 huko, Ni heri angesubiri wiki baada ya Diamond alivyotoa mkwaju wake ndio atoe ngoma.
2.Kulipia views
Youtube huwa wanazipa uzito views ambazo ni "Organic" na sio zile "Inorganic", kwa maelezo mepesi Organic views hizi hutegemea zaidi fanbase yako, yaani mashabiki wako weyewe wanaingia kucheki video yako ila inorganic views hizi ni views unapata kwa kulipia, lengo ni kufifikia hadhara kubwa zaidi hususani wasio wamshabiki.
Ali kiba kwa sasa kaanza kulipia ili video yake ifikie watu wengi zaidi, hapa ni kwamba analipa kwa facebook na instagram matangazo yale ya "sponsored" ili kupromote video yake, tangazo moja wapo ni kama hili hapa.
View attachment 1888207
Mkumbuke ya kwamba haya ndio mambo ambayo Diamond alikuwa akiyafanya miaka ya 2015 huko na wasanii wenzake wengi walipotoshana huku ni kuiba views kumbe kijana alkuwa hatosheki na vi promo vya radio, tv, n.k alikuwa anatumia teknolojia kufika mbali zaidi kwa kupata mashabiki wapya na kupata shows nyingi nje ya nchi kwenyenchi ambazo hata hatujawahi kusikia kama Huko Mayotte,
pia kuna kulipia mpaka ads za youtube, Yani video inaingizwa kama tangazo katikati ya video zingine na wanapeleka kwenye nchi za mbali ili wabongo wasistukie.
Katika kutangaza video ili upate inorgani ciews lengo huwa ni kupata mashabiki wapya wa kudumu ila kuna njia nyeusi hutumika kwa malengo ya kupata views tu bila kujali kupata mashabiki mapya, kinacofanyika ni kulipia tangazo liwafikie watu wa nchi kama pakistani huko ambako gharama huwa inakuwa ni ndogo kwa matangazo na tangazo linafikia watu wengi mno maana hao wapiksatani na wahindi wapozaidi ya bilioni.
kama mnayojua watu wa huko pakistani na india kuna jopo la watu wengi wanaoshinda sana mitandaoni, nadhani wengi sio wageni wa fujo zao huko fb kwa zile video call zao, wao mda wote wapo online na internet kwao sio gharama, ni sawa na bure tu, sasa ukipeleka tangazo lako huko, views unapata fasta tu.
Mfano tangazo likifikia wapakistani milioni 5 basi milioni 3 wanawza kuicheki video youtube, na hii ndio mbinu ambayo huenda hata kina harmonize hapo wiki chache wamezitumia kujaza ma views ambayo yaliacha watu wengi vinywa wazi, hata msanii wake killy alipata views milioni 1 ndani ya siku 1 tu lakini video yake haikuwemo hata kwenye 10 bora za trending youtube
SawaaaaaNi takribanai wiki 2 kasoro tangu video ya Kiba itolewe lakini tumeshangazwa kuona mfalme (kama ajiitavyo) katoa kaze 2 mfululizo (jealous & ndomboloo) ila kashindwa kutetea kwa vitendo kiti chake walau kwa kushika namba 1 kwenye trending videos za youtube, Ni ajabu na wengi wamebaki vinywa wazi maana haijazoeeka, Tumezoea akitoa ngoma basi ni kawaida kukaa kwenye kiti hicho walau kwa wiki ila kwa sasa imekuwa shughuli pevu kukaa pale juu hata kwa nusu saa.
Sababu kuu ni hizi
1. Ngoma aliitoa kibifu / kikomoaji zaidi
historia iliwahi kumpendelea kiba pale Diamond alipotoa ngoma ya "zilipendwa" muda mfupi baada ya Kiba kutoa "Seduce me", Mondi nahisi hatakuja kusahau lile fundisho kwa sababu Ali kiba alijizolea maksi nyingi sana na ile seduce me ikapata umaarufu mkubwa mno, somo likiwa ni kwamba usitoe ngoma kibifu ama kumkomoa mwenzako ambaye katoka kutoa ngoma kwenye level hasa akiwa ni staa mkubwa,
Na sasa historia inajirudia Ali kiba katoa ngoma kibifu zaidi ama kukukomoa flani hivi, kaona staa mwenzake katoa ngoma nae fasta fasta katoa, hakika anavuna alchopanda!!, Matokeo yake ndio kama tunavyoona somo linavyoendelea huko youtube, ngoma imekuwa imedoda yani, si kwa hadhi aliyonayo Kiba, na kwa sasa inashuka kwa spidi ya radi katika orodha ya trending videos huko youtube, kwa sasa ni ya 7 huko, Ni heri angesubiri wiki baada ya Diamond alivyotoa mkwaju wake ndio atoe ngoma.
2.Kulipia views
Youtube huwa wanazipa uzito views ambazo ni "Organic" na sio zile "Inorganic", kwa maelezo mepesi Organic views hizi hutegemea zaidi fanbase yako, yaani mashabiki wako weyewe wanaingia kucheki video yako ila inorganic views hizi ni views unapata kwa kulipia, lengo ni kufifikia hadhara kubwa zaidi hususani wasio wamshabiki.
Ali kiba kwa sasa kaanza kulipia ili video yake ifikie watu wengi zaidi, hapa ni kwamba analipa kwa facebook na instagram matangazo yale ya "sponsored" ili kupromote video yake, tangazo moja wapo ni kama hili hapa.
View attachment 1888207
Mkumbuke ya kwamba haya ndio mambo ambayo Diamond alikuwa akiyafanya miaka ya 2015 huko na wasanii wenzake wengi walipotoshana huku ni kuiba views kumbe kijana alkuwa hatosheki na vi promo vya radio, tv, n.k alikuwa anatumia teknolojia kufika mbali zaidi kwa kupata mashabiki wapya na kupata shows nyingi nje ya nchi kwenyenchi ambazo hata hatujawahi kusikia kama Huko Mayotte,
pia kuna kulipia mpaka ads za youtube, Yani video inaingizwa kama tangazo katikati ya video zingine na wanapeleka kwenye nchi za mbali ili wabongo wasistukie.
Katika kutangaza video ili upate inorgani ciews lengo huwa ni kupata mashabiki wapya wa kudumu ila kuna njia nyeusi hutumika kwa malengo ya kupata views tu bila kujali kupata mashabiki mapya, kinacofanyika ni kulipia tangazo liwafikie watu wa nchi kama pakistani huko ambako gharama huwa inakuwa ni ndogo kwa matangazo na tangazo linafikia watu wengi mno maana hao wapiksatani na wahindi wapozaidi ya bilioni.
kama mnayojua watu wa huko pakistani na india kuna jopo la watu wengi wanaoshinda sana mitandaoni, nadhani wengi sio wageni wa fujo zao huko fb kwa zile video call zao, wao mda wote wapo online na internet kwao sio gharama, ni sawa na bure tu, sasa ukipeleka tangazo lako huko, views unapata fasta tu.
Mfano tangazo likifikia wapakistani milioni 5 basi milioni 3 wanawza kuicheki video youtube, na hii ndio mbinu ambayo huenda hata kina harmonize hapo wiki chache wamezitumia kujaza ma views ambayo yaliacha watu wengi vinywa wazi, hata msanii wake killy alipata views milioni 1 ndani ya siku 1 tu lakini video yake haikuwemo hata kwenye 10 bora za trending youtube
huna elimu kuhusu IT na social networks ...emu ka - google vzr afu ulete mada ....diamond kuwa namba 1 trending inamaanisha watazamaji wengi ni wa apa bongo na kiba video yake inatazamwa zaidi nje kuliko apa bongo ...system inafanya kazi kwa namna flani ambayo cwez poteza mda wangu kuanza kuandika gazeti kama wwNi takribanai wiki 2 kasoro tangu video ya Kiba itolewe lakini tumeshangazwa kuona mfalme (kama ajiitavyo) katoa kaze 2 mfululizo (jealous & ndomboloo) ila kashindwa kutetea kwa vitendo kiti chake walau kwa kushika namba 1 kwenye trending videos za youtube, Ni ajabu na wengi wamebaki vinywa wazi maana haijazoeeka, Tumezoea akitoa ngoma basi ni kawaida kukaa kwenye kiti hicho walau kwa wiki ila kwa sasa imekuwa shughuli pevu kukaa pale juu hata kwa nusu saa.
Sababu kuu ni hizi
1. Ngoma aliitoa kibifu / kikomoaji zaidi
historia iliwahi kumpendelea kiba pale Diamond alipotoa ngoma ya "zilipendwa" muda mfupi baada ya Kiba kutoa "Seduce me", Mondi nahisi hatakuja kusahau lile fundisho kwa sababu Ali kiba alijizolea maksi nyingi sana na ile seduce me ikapata umaarufu mkubwa mno, somo likiwa ni kwamba usitoe ngoma kibifu ama kumkomoa mwenzako ambaye katoka kutoa ngoma kwenye level hasa akiwa ni staa mkubwa,
Na sasa historia inajirudia Ali kiba katoa ngoma kibifu zaidi ama kukukomoa flani hivi, kaona staa mwenzake katoa ngoma nae fasta fasta katoa, hakika anavuna alchopanda!!, Matokeo yake ndio kama tunavyoona somo linavyoendelea huko youtube, ngoma imekuwa imedoda yani, si kwa hadhi aliyonayo Kiba, na kwa sasa inashuka kwa spidi ya radi katika orodha ya trending videos huko youtube, kwa sasa ni ya 7 huko, Ni heri angesubiri wiki baada ya Diamond alivyotoa mkwaju wake ndio atoe ngoma.
2.Kulipia views
Youtube huwa wanazipa uzito views ambazo ni "Organic" na sio zile "Inorganic", kwa maelezo mepesi Organic views hizi hutegemea zaidi fanbase yako, yaani mashabiki wako weyewe wanaingia kucheki video yako ila inorganic views hizi ni views unapata kwa kulipia, lengo ni kufifikia hadhara kubwa zaidi hususani wasio wamshabiki.
Ali kiba kwa sasa kaanza kulipia ili video yake ifikie watu wengi zaidi, hapa ni kwamba analipa kwa facebook na instagram matangazo yale ya "sponsored" ili kupromote video yake, tangazo moja wapo ni kama hili hapa.
View attachment 1888207
Mkumbuke ya kwamba haya ndio mambo ambayo Diamond alikuwa akiyafanya miaka ya 2015 huko na wasanii wenzake wengi walipotoshana huku ni kuiba views kumbe kijana alkuwa hatosheki na vi promo vya radio, tv, n.k alikuwa anatumia teknolojia kufika mbali zaidi kwa kupata mashabiki wapya na kupata shows nyingi nje ya nchi kwenyenchi ambazo hata hatujawahi kusikia kama Huko Mayotte,
pia kuna kulipia mpaka ads za youtube, Yani video inaingizwa kama tangazo katikati ya video zingine na wanapeleka kwenye nchi za mbali ili wabongo wasistukie.
Katika kutangaza video ili upate inorgani ciews lengo huwa ni kupata mashabiki wapya wa kudumu ila kuna njia nyeusi hutumika kwa malengo ya kupata views tu bila kujali kupata mashabiki mapya, kinacofanyika ni kulipia tangazo liwafikie watu wa nchi kama pakistani huko ambako gharama huwa inakuwa ni ndogo kwa matangazo na tangazo linafikia watu wengi mno maana hao wapiksatani na wahindi wapozaidi ya bilioni.
kama mnayojua watu wa huko pakistani na india kuna jopo la watu wengi wanaoshinda sana mitandaoni, nadhani wengi sio wageni wa fujo zao huko fb kwa zile video call zao, wao mda wote wapo online na internet kwao sio gharama, ni sawa na bure tu, sasa ukipeleka tangazo lako huko, views unapata fasta tu.
Mfano tangazo likifikia wapakistani milioni 5 basi milioni 3 wanawza kuicheki video youtube, na hii ndio mbinu ambayo huenda hata kina harmonize hapo wiki chache wamezitumia kujaza ma views ambayo yaliacha watu wengi vinywa wazi, hata msanii wake killy alipata views milioni 1 ndani ya siku 1 tu lakini video yake haikuwemo hata kwenye 10 bora za trending youtube
huna elimu kuhusu IT na social networks ...emu ka - google vzr afu ulete mada ....diamond kuwa namba 1 trending inamaanisha watazamaji wengi ni wa apa bongo na kiba video yake inatazamwa zaidi nje kuliko apa bongo ...system inafanya kazi kwa namna flani ambayo cwez poteza mda wangu kuanza kuandika gazeti kama ww
Yes, wapakistani wengi ndio wanaangalia video za kiba 😋😋 umejijibu freah sanahuna elimu kuhusu IT na social networks ...emu ka - google vzr afu ulete mada ....diamond kuwa namba 1 trending inamaanisha watazamaji wengi ni wa apa bongo na kiba video yake inatazamwa zaidi nje kuliko apa bongo ...system inafanya kazi kwa namna flani ambayo cwez poteza mda wangu kuanza kuandika gazeti kama ww
Zile kelele za "sijui views milioni ndani ya lisaa" zimeshazimwa sasa wamehamia kwenye trending.Ndio zenu kubadilika badilika,mlilingia sana na views hapo nyuma mambo sijui yamekuwaje siku hizi eti mmegeukia namba moja on trend...na maji sasa yamefika utosini kinachofata kifo tu
Kiba kama Messi,mpaka aache mziki mwenyewe lkn usithubutu kusubiri afulie...
Hawa walisema views hazinunuliwi, na wakawa backed na Mange kimambi, leo wanajikataa wenyeweUnateseka ukiwa wapi wewe mtoa thread !? Ww una uhakika gani Kama alinunua views wivu Ni kidonda ndugu yangu and no research no right to speak Bora ungemsimanga alikiba juu ya swala lake la KUTOKUWA mbunifu hapo ningekuelewa maana hicho ndo seems kinamuangusha maana yeye yupoyupo tu Kama vile anafanya mziki wa gospel, kapooza, Hana Kiki, haendi na fashion, hajui kucheza na mziki wa Sasa Ni wa amapiano zaidi or even trends to make him kusikika Mara kwa Mara , hapo ungeeleweka lkn sio hiz point zako ambazo hazimake sense
Hata kwenye streams kapigwaHivi ni kwa nini bado mnapenda kushindanishana kwenye views badala ya Streams ambazo hazina utata?
Embu nenda kasome kwanza factors (vigezo ) vinavyo tumiwa na hao You tube kuiweka video iliyopotiwa kuwa trending no 1. Halafu baada ya hapo njoo utoe lecture tena.Ni takribanai wiki 2 kasoro tangu video ya Kiba itolewe lakini tumeshangazwa kuona mfalme (kama ajiitavyo) katoa kaze 2 mfululizo (jealous & ndomboloo) ila kashindwa kutetea kwa vitendo kiti chake walau kwa kushika namba 1 kwenye trending videos za youtube, Ni ajabu na wengi wamebaki vinywa wazi maana haijazoeeka, Tumezoea akitoa ngoma basi ni kawaida kukaa kwenye kiti hicho walau kwa wiki ila kwa sasa imekuwa shughuli pevu kukaa pale juu hata kwa nusu saa.
Sababu kuu ni hizi
1. Ngoma aliitoa kibifu / kikomoaji zaidi
historia iliwahi kumpendelea kiba pale Diamond alipotoa ngoma ya "zilipendwa" muda mfupi baada ya Kiba kutoa "Seduce me", Mondi nahisi hatakuja kusahau lile fundisho kwa sababu Ali kiba alijizolea maksi nyingi sana na ile seduce me ikapata umaarufu mkubwa mno, somo likiwa ni kwamba usitoe ngoma kibifu ama kumkomoa mwenzako ambaye katoka kutoa ngoma kwenye level hasa akiwa ni staa mkubwa,
Na sasa historia inajirudia Ali kiba katoa ngoma kibifu zaidi ama kukukomoa flani hivi, kaona staa mwenzake katoa ngoma nae fasta fasta katoa, hakika anavuna alchopanda!!, Matokeo yake ndio kama tunavyoona somo linavyoendelea huko youtube, ngoma imekuwa imedoda yani, si kwa hadhi aliyonayo Kiba, na kwa sasa inashuka kwa spidi ya radi katika orodha ya trending videos huko youtube, kwa sasa ni ya 7 huko, Ni heri angesubiri wiki baada ya Diamond alivyotoa mkwaju wake ndio atoe ngoma.
2.Kulipia views
Youtube huwa wanazipa uzito views ambazo ni "Organic" na sio zile "Inorganic", kwa maelezo mepesi Organic views hizi hutegemea zaidi fanbase yako, yaani mashabiki wako weyewe wanaingia kucheki video yako ila inorganic views hizi ni views unapata kwa kulipia, lengo ni kufifikia hadhara kubwa zaidi hususani wasio wamshabiki.
Ali kiba kwa sasa kaanza kulipia ili video yake ifikie watu wengi zaidi, hapa ni kwamba analipa kwa facebook na instagram matangazo yale ya "sponsored" ili kupromote video yake, tangazo moja wapo ni kama hili hapa.
View attachment 1888207
Mkumbuke ya kwamba haya ndio mambo ambayo Diamond alikuwa akiyafanya miaka ya 2015 huko na wasanii wenzake wengi walipotoshana huku ni kuiba views kumbe kijana alkuwa hatosheki na vi promo vya radio, tv, n.k alikuwa anatumia teknolojia kufika mbali zaidi kwa kupata mashabiki wapya na kupata shows nyingi nje ya nchi kwenyenchi ambazo hata hatujawahi kusikia kama Huko Mayotte,
pia kuna kulipia mpaka ads za youtube, Yani video inaingizwa kama tangazo katikati ya video zingine na wanapeleka kwenye nchi za mbali ili wabongo wasistukie.
Katika kutangaza video ili upate inorgani ciews lengo huwa ni kupata mashabiki wapya wa kudumu ila kuna njia nyeusi hutumika kwa malengo ya kupata views tu bila kujali kupata mashabiki mapya, kinacofanyika ni kulipia tangazo liwafikie watu wa nchi kama pakistani huko ambako gharama huwa inakuwa ni ndogo kwa matangazo na tangazo linafikia watu wengi mno maana hao wapiksatani na wahindi wapozaidi ya bilioni.
kama mnayojua watu wa huko pakistani na india kuna jopo la watu wengi wanaoshinda sana mitandaoni, nadhani wengi sio wageni wa fujo zao huko fb kwa zile video call zao, wao mda wote wapo online na internet kwao sio gharama, ni sawa na bure tu, sasa ukipeleka tangazo lako huko, views unapata fasta tu.
Mfano tangazo likifikia wapakistani milioni 5 basi milioni 3 wanawza kuicheki video youtube, na hii ndio mbinu ambayo huenda hata kina harmonize hapo wiki chache wamezitumia kujaza ma views ambayo yaliacha watu wengi vinywa wazi, hata msanii wake killy alipata views milioni 1 ndani ya siku 1 tu lakini video yake haikuwemo hata kwenye 10 bora za trending youtube
Mkuu saizi video inashika namba ngapi 😂😂🚮🚮Embu nenda kasome kwanza factors (vigezo ) vinavyo tumiwa na hao You tube kuiweka video iliyopotiwa kuwa trending no 1. Halafu baada ya hapo njoo utoe lecture tena.
Nikilewa sitaki nigasiweNi takribanai wiki 2 kasoro tangu video ya Kiba itolewe lakini tumeshangazwa kuona mfalme (kama ajiitavyo) katoa kaze 2 mfululizo (jealous & ndomboloo) ila kashindwa kutetea kwa vitendo kiti chake walau kwa kushika namba 1 kwenye trending videos za youtube, Ni ajabu na wengi wamebaki vinywa wazi maana haijazoeeka, Tumezoea akitoa ngoma basi ni kawaida kukaa kwenye kiti hicho walau kwa wiki ila kwa sasa imekuwa shughuli pevu kukaa pale juu hata kwa nusu saa.
Sababu kuu ni hizi
1. Ngoma aliitoa kibifu / kikomoaji zaidi
historia iliwahi kumpendelea kiba pale Diamond alipotoa ngoma ya "zilipendwa" muda mfupi baada ya Kiba kutoa "Seduce me", Mondi nahisi hatakuja kusahau lile fundisho kwa sababu Ali kiba alijizolea maksi nyingi sana na ile seduce me ikapata umaarufu mkubwa mno, somo likiwa ni kwamba usitoe ngoma kibifu ama kumkomoa mwenzako ambaye katoka kutoa ngoma kwenye level hasa akiwa ni staa mkubwa,
Na sasa historia inajirudia Ali kiba katoa ngoma kibifu zaidi ama kukukomoa flani hivi, kaona staa mwenzake katoa ngoma nae fasta fasta katoa, hakika anavuna alchopanda!!, Matokeo yake ndio kama tunavyoona somo linavyoendelea huko youtube, ngoma imekuwa imedoda yani, si kwa hadhi aliyonayo Kiba, na kwa sasa inashuka kwa spidi ya radi katika orodha ya trending videos huko youtube, kwa sasa ni ya 7 huko, Ni heri angesubiri wiki baada ya Diamond alivyotoa mkwaju wake ndio atoe ngoma.
2.Kulipia views
Youtube huwa wanazipa uzito views ambazo ni "Organic" na sio zile "Inorganic", kwa maelezo mepesi Organic views hizi hutegemea zaidi fanbase yako, yaani mashabiki wako weyewe wanaingia kucheki video yako ila inorganic views hizi ni views unapata kwa kulipia, lengo ni kufifikia hadhara kubwa zaidi hususani wasio wamshabiki.
Ali kiba kwa sasa kaanza kulipia ili video yake ifikie watu wengi zaidi, hapa ni kwamba analipa kwa facebook na instagram matangazo yale ya "sponsored" ili kupromote video yake, tangazo moja wapo ni kama hili hapa.
View attachment 1888207
Mkumbuke ya kwamba haya ndio mambo ambayo Diamond alikuwa akiyafanya miaka ya 2015 huko na wasanii wenzake wengi walipotoshana huku ni kuiba views kumbe kijana alkuwa hatosheki na vi promo vya radio, tv, n.k alikuwa anatumia teknolojia kufika mbali zaidi kwa kupata mashabiki wapya na kupata shows nyingi nje ya nchi kwenyenchi ambazo hata hatujawahi kusikia kama Huko Mayotte,
pia kuna kulipia mpaka ads za youtube, Yani video inaingizwa kama tangazo katikati ya video zingine na wanapeleka kwenye nchi za mbali ili wabongo wasistukie.
Katika kutangaza video ili upate inorgani ciews lengo huwa ni kupata mashabiki wapya wa kudumu ila kuna njia nyeusi hutumika kwa malengo ya kupata views tu bila kujali kupata mashabiki mapya, kinacofanyika ni kulipia tangazo liwafikie watu wa nchi kama pakistani huko ambako gharama huwa inakuwa ni ndogo kwa matangazo na tangazo linafikia watu wengi mno maana hao wapiksatani na wahindi wapozaidi ya bilioni.
kama mnayojua watu wa huko pakistani na india kuna jopo la watu wengi wanaoshinda sana mitandaoni, nadhani wengi sio wageni wa fujo zao huko fb kwa zile video call zao, wao mda wote wapo online na internet kwao sio gharama, ni sawa na bure tu, sasa ukipeleka tangazo lako huko, views unapata fasta tu.
Mfano tangazo likifikia wapakistani milioni 5 basi milioni 3 wanawza kuicheki video youtube, na hii ndio mbinu ambayo huenda hata kina harmonize hapo wiki chache wamezitumia kujaza ma views ambayo yaliacha watu wengi vinywa wazi, hata msanii wake killy alipata views milioni 1 ndani ya siku 1 tu lakini video yake haikuwemo hata kwenye 10 bora za trending youtube
nigeria hayupo kwenye trending, ni dhahiri views zitakuwa ni za pakistaniKiba Kama amewastua wapopo baada ya kufanya ngoma mbili na Wasanii wao .hivyo views nyingi anapata Nigeria.. trending ni regional (East Africa)..
Diamond ana mashabiki wajinga sana yaani,hiyo ndio bahati mbaya aliyo nayo.kwingine kote ametusua.