BOSS YA MBOKA
Member
- Nov 26, 2020
- 8
- 8
Naona baada ya dada wa taifa kumuwekea ujumbe wake kule upande wa pili kuhusu fobusi kijana anajaribu kusawazisha .
Kumbe na wewe umeona mkuu..Hao walioambatana na Diamond Platnum hawakujua hadhi ya ofisi wanakokwenda? Diamond na wale watoto wa Robert Mugabae hawana utofauti kabisa.