Usimtishe,anatakiwa apate Elimu ya ujasiliamali,sio kama anaacha ila anabadilisha aina ya kazi,alikuwa anasimamiwa akiachacha atakuwa anajisimamia,anachotakiwa nikuwa na nidhamu ya shughuli zake.
Mimi nilikuwa mfanyakazi wa sekta binafsi,waliniajili nikiwa kitua A baadae wakaniamishia kituo B,kwa sasa wameniachisha kazi kwa madai gharama za uendeshaji kuwa kubwa,wakati ananiachisha ameshindwa kuniludisha kituo A ambacho aliniajili,nimeludi kwa gharama zangu baada ya kusubili kwa mwezi...
Hapa wanataka kutengeneza cv kuwa kaenda kafanikisha kuludi nazo kumbe yule mkuu aliyeenda wiki mbili zilizopita kesha piga goti,mkuu siku si nyingi,kiki iyo inatengenezwa
Nyumbu awatoisha nchi hii,Pengo anawakilisha watu gani katika hii nchi,kati ya watanzania wapatao millioni hamsini,je akitokea Shehe mkuu wa Tz nae akasema lake katiba ni kipaumbele kwa waTz itakuwaje,uyu atawakilisha wachochezi,viongozi wa dini wana mapungufu kama binadamu wengine,ndio awa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.