Nimemaliza hapo juzi tu. Ndugu kama haupo serious kusoma usiende. Tena nimesoma mambo hayo ya ICT, tuliofika mwishoni wachache tumeanza wengi babaaaa pale ni jeshini sio mchezo. Usijaribu kuingia na videsa UE umesepaaaaa kama unajiona haupo fit kaka nenda CBE hapo utakula maisha. Pale mzumbe...
Habari. Bando zetu ni,
Tsh700= 10GB, Siku 3 (USIKU TU)
Tsh1,100= 2GB, dk 110, SMS, Siku 3
Tsh 1,600= 1GB, dk 150, SMS, Wiki 1
Tsh6,500= 4GB, dk 500, SMS, Mwezi 1
Namba ya System zetu ni 0788315655 jina Edwin kiwale
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda wadau, nataka kufanya kilimo cha papai mwenye ushauri juu ya soko lake na taratibu za kulima papai msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna njia za kustopisha inawezekana umefanya auto backup hivyo Os inajibackup kila muda. Unatumia OS gan?
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Acha ushamba wewe Kama hauli kwenye ma cafteria huwezi kuona. Mchele upo mwingi Sana. Morogoro hapa chuoni umezagaa Sasa hivi wanafunzi wanakula chips tu. Vibanda vya vyakula wanamix na was kawaida. Usibishe kitu usichokijua wewe sema hujakutana nao
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.