ccm nchi imewashinda,, mnakotupeleka cko. damu inalia ipo cku kila lililofichwa litawekwa wazi, inauma sana jama, Polen majeruhi. MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMENI
hili ndo tatizo la kuleta siasa kwenye elimu. jamani siasa na elimu kama mapenzi na shule..wanasiasa mtuachie elimu yetu mtawaua watu kwa pressure.:target:
poleni xana ndugu zetu, hata udom watu kibao hatujapangiwa. na aieleweki ni vigezo gani wamechukua. jamani kama unaelewa hebu mtusaidie wenzenu maisha yanazid kuwa magumu.:target:
Utaratibu mbovu,,au ndio maana post zimechelewa walikuwa wanatafuta jinsi ya kutudanganya,,hatudanganyiki tunataka pesa zetu majengo wajenge kwa pesa zao.hii nchi wamezidi sasa.:target:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.